Nimepigwa na mume

kwahiyo unamaanisha kwa sababu naishi naye kimapenzi ndo nikubali unyanyasaji anaonifanyia?

Hii inawashinda wanawake wengi kitu kinachoitwa UVUMILIVU na kama unataka kuachana na mwanaume mpeleke kwenye sheria nakuambia itakuwa ndo mwisho wako wewe na yeye..
Wengi wamefanya hivyo
na wameachana kabsa.
 


Huyu ni mwanamme uchwara, mpige chini atakurudisha nyuma kimaendeleo.
 
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika

wewe misschagga unamfundisha mwenzio utukutu eehehh...! ngoja kwanza adundwe apunguze mdomodomo... km ni mimi ukinipiga nitakukimbiza usiku kucha nitakapo kushikia hapohapo nitakuto...mba mpaka uishiwe nguvu ndiyo turudi nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
sikumtukana hataki nimrekebishe akikosea na hataki na mtoto akifanya kosa hataki nimuadhibu au kumgombeza mbele yake sasa kichapo kilianza pale nilipojaribu kumkosoa

pole ila jifunze kidogo kumfanyia vitu vya kumfurahisha wanaume sisi ni wadhaifu ebu tumia passive way utafanikiwa polisi ni ujinga tu utaelekea tarakani..
 
The ultimate effect ya sheria ni kifungo ndo nakuuliza kama una utayari wa kumpelekea chakula gerezani? Nikimaanisha kama upo tayari ni rahisi kuelekezwa

sitaki kumpelekea hata chakula gerezani
 
Kule songea mwanamke asipotembezewa kichapo anaenda kushitaki kuwa hapendwi, nakupa pole, lakini msepeto ni sehemu ya ndoa, cha kufanya uvumilie, yaani ukienda tu kwenye vyombo vya sheria, na ndoa yako ushaitia doa.
 

Do you known what we call temper?
 
pole ila jifunze kidogo kumfanyia vitu vya kumfurahisha wanaume sisi ni wadhaifu ebu tumia passive way utafanikiwa polisi ni ujinga tu utaelekea tarakani..
kwa usema kweli watu wengine ni mtihani sana kuishi nao anataka apewe sifa na utukufu kama mungu
 
In short, mimi niliwahi kumpiga mke wangu but kwa bahati mbaya. Nina tatizo la kushindwa kokontrooo hasira yangu. Short tempered
 
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika

Is that your best answer?
 

In short, kwa maelezo yako ungekua umeolewa na mimi, tayari we ni marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…