Nimepita Instagram account ya Fiston Mayele kuna kitu sikielewi naomba nielimishwe

Jobless ninayependwa vilivyo na Mamaako. Siku zingine muwe na Adabu kwani unaweza kujikuta Yule unayemdharau na kumchukia kutwa hapa JamiiForums akawa kumbe ni Babaako wa Kambo.

Yeremia 1:19
 
Huyo Dr Matola PhD ni lazima tu awashwewashwe kunitajataja na Kunichukia kutwa tu hapa JamiiForums, kwani ana Wivu nami kwakuwa napendwa mno na Mamaake, hivyo huenda nae anataka Kumsaidia kwa Kunipenda.

Yeremia 1:19
Hii Yeremia 1:19 inamuhusu Mwamposa, mnayempiga vita lakini mmeshindwa Mungu yuko naye.

Wewe mshirikina hiyo aya haiwezi kukuhusu, Mungu hana ushirika na washirikina.
 
Naunga mkono hoja, ukosefu wa ajira umewatengeneza machizi wengi mmojawapo huyo uliyemtaja hapo ni kichaa wa kwenda.
 
wengine wanatuhumiwa kwa majini wengine wanapigwa faini kwa uchawi na ushirikina michezoni 🐒



R.I.P Laigwanani comrade ENL
 
Hii Yeremia 1:19 inamuhusu Mwamposa, mnayempiga vita lakini mmeshindwa Mungu yuko naye.

Wewe mshirikina hiyo aya haiwezi kukuhusu, Mungu hana ushirika na washirikina.
Nafurahi sana unavyojibizana nami Baba yako wa Kambo. Sijui kwanini Baba wa Kambo huwa tunachukiwa mno na Watoto Wakubwa wakati Mama zao huwa Wanatupenda sana kutokana na Uwajibikaji wetu katika Uwanja wa Vita nao wa Kibaiolojia.
 
Reactions: Tui
mnatudharau sana vijana ambao hatuna kazi mnataka tujipe kazi, tunaweza amua kuwaibia wenye nacho au vita kama kongo tuwashane wenyewe kwa wenyewe ndo mtaheshimu na pengine mtapunguza na bei za mabundle ili tuwe busy zaid mtandaoni kuliko tukikiwasha maana hatuna cha kupoteza sana tukipoteza ni umasikini tu
 
PhD holder unashangaa kuona mcongo anazungumza kiswahili? Hujui kiswahili ni moja kati ya lugha rasmi za taifa nchini Congo?
Anyways Mayele kakulia Lubumbashi na Lubumbashi wanazungumza kiswahili.
 
Ushamba huu ndio umlitoa Samatta EPL , account ya Aston Villa ilijaa comment za kijinga kuhusu Mbwana
 
Huwa nasemaga humu siku zote watanzania ni moja ya watu wajinga wajinga hapa duniani
 
Hata wewe una shobo ulienda kwenye insta account yake kufanya nini?
 
na si ajabu wadaku wamekuzid maendeleo yenyewe
Punguza stress, kuna sehemu nimesema kipato cha mtu? Nimezungumzia tabia ya watanzania wengi kupenda udaku..
Haijalishi ana kipato au hana, ila wabongo wengi ni wapenda udaku.
 
Wabingo wengi ni wajinga wajinga (utauona kwenye matusi) na washamba wa mitandaoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…