Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #41
Hivi umeelewa hata nilichoandika kweli au umekurupuka tu?PhD holder unashangaa kuona mcongo anazungumza kiswahili? Hujui kiswahili ni moja kati ya lugha rasmi za taifa nchini Congo?
Anyways Mayele kakulia Lubumbashi na Lubumbashi wanazungumza kiswahili.
Hao kina Christian Bela na ngwasuma kwani wanaimba Kwa lugha gani?
Swali ni Kwa nini Wabongo ndio wanaocomment tu? najuwa miandiko ya Wacongo na kiswahili chao nakijuwa, kiswahili cha mbagala na Tandale kinajurikana vizuri tu.
Kwa kiswahili ya Congo wewe unatomboka na kuyamba tu.