Nimepita Instagram account ya Fiston Mayele kuna kitu sikielewi naomba nielimishwe

PhD holder unashangaa kuona mcongo anazungumza kiswahili? Hujui kiswahili ni moja kati ya lugha rasmi za taifa nchini Congo?
Anyways Mayele kakulia Lubumbashi na Lubumbashi wanazungumza kiswahili.
Hivi umeelewa hata nilichoandika kweli au umekurupuka tu?

Hao kina Christian Bela na ngwasuma kwani wanaimba Kwa lugha gani?

Swali ni Kwa nini Wabongo ndio wanaocomment tu? najuwa miandiko ya Wacongo na kiswahili chao nakijuwa, kiswahili cha mbagala na Tandale kinajurikana vizuri tu.

Kwa kiswahili ya Congo wewe unatomboka na kuyamba tu.
 
Swali ni Kwa nini Wabongo ndio wanaocomment tu? najuwa miandiko ya Wacongo na kiswahili chao nakijuwa, kiswahili cha mbagala na Tandale kinajurikana vizuri tu.

Swali la kitoto kweli kwani wewe Mayele alikuwa maarufu bongo kwa sababu ya Yanga?

Wewe nenda katafute vivunja chungu tu mkuu kwenye kufanya reasoning bado u mtoto
 
Mayele ameamua kuwa mchezaji wa mitandaoni Kama edo alivyosema , Mpira Utakuwa umemshinda anatafuta sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…