Bijang
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 368
- 724
Kuna staff mwenzetu aliingiziwa milion 2, sasa zikapita kama siku tano ile alikuwa ameshaitumia kununulia luxurious things.
Sasa tulikuwa na madai ya takriban mwaka tunayadai ofisi,kumbe ile hela ndo yale madai tumelipwa na jamaa alishapangilia kuwa akipata madai atazitumia kwenye muendlezo wa ujezn, alivokuja kujua aliumia sana.
Sasa tulikuwa na madai ya takriban mwaka tunayadai ofisi,kumbe ile hela ndo yale madai tumelipwa na jamaa alishapangilia kuwa akipata madai atazitumia kwenye muendlezo wa ujezn, alivokuja kujua aliumia sana.