Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #81
Anakuja na hoja za kitoto sana sasa mtu kama huyo unafanyaje?Hivi huwezi kuchangia bila kukejeli na kutukana? Naona mijadala yako mingi imejaa "Umachinoo" mwingi, as if unajua kila kitu wewe.... Mtu anakosoa kistaarabu wewe unamwambia hajielewi! Basi ukianzisha thread comment wewe na ujijibu wewe!! Unanikwaza kweli kweli, sijui wengine wanaonaje huko ila to me!! Hapana... Unaonekana sharobaro saana (Vijana wapenda makuu,na kujiona wao ndo kila kitu)
Ndo zake, akiweka kitu humu basi asipingwe.. Utasikia, nyamaza wewe hujui kitu... Hujielewi wewe tulia... Hakuna unalolijua wewe (tusi)...Acha tu twende naye hivi hivi maana hatulipwi humu.
Sasa kama huyu usiombe muwe gym halafu unafanya zoezi unakosea ye awe anajua unaweza ukahama gym.Ndo zake, akiweka kitu humu basi asipingwe.. Utasikia, nyamaza wewe hujui kitu... Hujielewi wewe tulia... Hakuna unalolijua wewe (tusi)...
Mpaka lini sasa, kama vipi Mods wawe wanapitia pitia na comments. Mtu kumwambia hajielewi kwenye mjadala huru ni kumkosea heshima saana!! Na hapo hajaja na habari za kina Diamond na Ali Kiba na zile za magazeti ya Udaku, anaandika utadhani alikuwepo chumbani!!
Pathetic
Karibu Jamii ForumsNdo zake, akiweka kitu humu basi asipingwe.. Utasikia, nyamaza wewe hujui kitu... Hujielewi wewe tulia... Hakuna unalolijua wewe (tusi)...
Mpaka lini sasa, kama vipi Mods wawe wanapitia pitia na comments. Mtu kumwambia hajielewi kwenye mjadala huru ni kumkosea heshima saana!! Na hapo hajaja na habari za kina Diamond na Ali Kiba na zile za magazeti ya Udaku, anaandika utadhani alikuwepo chumbani!!
Pathetic
UFC ni nini? wengine Mh!Kusoma anajua ila aliacha shule kwa ushawishi wa bibi yake.
Bibi yake alimshawishi awekeze kwenye boxing na kamwe asije kuiacha.
Hata Carnelo Alaves alifiwa kwamba atamchapa GGG eti kisa Carmelo amepoteza pambano moja tu nalo ni kutoka kwa Floyd Mayweather, wakisahau kuwa GGG yy hajawah kupigwa kabisa. Huwa nakeleka sana eti "only his defeat came from Mayweather". Huyu May weather wao amekuwa Overrated sana.Kwa hili la kusema atakua amepigwa na mzoefu sikatai, same iliapply kwa Mohamed Ali na Sony Liston, na Athony kwa Klitschiko
Hivi uliziona zile seven combinations za kichwa alizopigwa GGG???Hata Carnelo Alaves alifiwa kwamba atamchapa GGG eti kisa Carmelo amepoteza pambano moja tu nalo ni kutoka kwa Floyd Mayweather, wakisahau kuwa GGG yy hajawah kupigwa kabisa. Huwa nakeleka sana eti "only his defeat came from Mayweather". Huyu May weather wao amekuwa Overrated sana.
Usanii ule ule utaendelezwa, utashangaa Floyd kashinda.Hahaha mkuu huko ufc ataenda kufa cz kule ni mangumi na mateke lakini naomba niseme tu floyd yupo vizuri sana kwenye ngumi lakini kwenye mateke na wepesi macregor yupo fiti sana kwa ufc floyd kumpiga macgregor ni ndoto
Hakuna bondia asiyekuwa na ndoto ya kumkalisha Floyd.Usanii ule ule utaendelezwa, utashangaa Floyd kashinda.
Macgregor kaonjeshwa pesa inavyotengenezwa anachonga mzinga.
Umeshasema hujui chochote kuhusu boxing kwa hiyo sio kosa lako.Mimi nikiri wazi sio mjuaji sana wa boxing ila nikiangalia mapambano anayoshiriki Floyd pamoja ya kuwa anashinda ila jamaa ni over rated hayupo kivile na binafsi naona maigizo tu tofauti na nikiangalia mapambano kama ya Anton Joshua lazima ntafute pop corn nikijua naangalia boxing haswa
Tunda hajambo lakini?Umeshasema hujui chochote kuhusu boxing kwa hiyo sio kosa lako.
Kwa uzito huo wa unyoya, kwanza May hapigani ananunua mapambano basi. Full biashara si ngumi.Hakuna bondia asiyekuwa na ndoto ya kumkalisha Floyd.
Kila mmoja anataka kutengeneza pesa na jina kwa kupata angalau sare na Floyd Mayweather.
Mkuu nimegundua kwel we ni shabiki mkubwa wa May weather..... Hahahaaaa kwa hyo GGG overall point ungekuwa refa ungemnyima?Hivi uliziona zile seven combinations za kichwa alizopigwa GGG???
Uimara wake tu ulimuokoa bila hivyo angepigwa K.O
Nasemea bondia makini hawezi kupigwa combinations za kizembe vileMkuu nimegundua kwel we ni shabiki mkubwa wa May weather..... Hahahaaaa kwa hyo GGG overall point ungekuwa refa ungemnyima?
Pambano lipi amelinunua?Kwa uzito huo wa unyoya, kwanza May hapigani ananunua mapambano basi. Full biashara si ngumi.
Hajambo mkuuTunda hajambo lakini?