Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Jilipue sehem π copy huu ujumbe kama ulivyo halafu mfikishie mtu hata kama ana mtu.Mbona mimi sijaandikiwa huu ujumbe hadi muda huu? Nimekosea wapi? ππΌππ
Hapana sijafikia kiwango hicho πJilipue sehem π copy huu ujumbe kama ulivyo halafu mfikishie mtu hata kama ana mtu.
Hutaki kuja kusimangwa baadae π€£π€£π€£Hapana sijafikia kiwango hicho π
Naishi maisha halisi kabisaHutaki kuja kusimangwa baadae π€£π€£π€£
Be sasaHabari zenu walipa kodi wenzangu.
Nanukuu nilichoandikiwq na huyu mrembo wa kisambaa.
"To you the love of my life"
You are just what I dreamed,my sweetheart would you be my valentine?
Nimjibu nini asa hapa?
Kama hajaolewa muite getho mzungumze kikubwa sawHabari zenu walipa kodi wenzangu.
Nanukuu nilichoandikiwq na huyu mrembo wa kisambaa.
"To you the love of my life"
You are just what I dreamed,my sweetheart would you be my valentine?
Nimjibu nini asa hapa?