Azniv Protingas
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 335
- 554
Unaelekea kupigwa msomiJuzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.