Nimeponyeka kutapeliwa na rafiki wa facebook

Nimeponyeka kutapeliwa na rafiki wa facebook

Juzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.

Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.
Kumbe na jf upo?,nilthan fb tu
 
Wenzio wameongea kabisa kwa video call wakaona ni kweli mzungu mwisho wa picha wakapigwa na kitu kizito.
Hujasikia wazungu walikamatwa TZ wakifanya cyber crime kwenye ATM za bank?
Hao wahuni wanaweza kuwa wazungu peke yao au wanashirikiana na waafrika.
Wake up mkuu!
[emoji120]
 
Hilo ni genge la midume ya Nigeria, Ghana na Kenya kwa pamoja. Wanatumia namba za ulaya na picha za wanawake wa kizungu. Ukitaka kama kakupa.namba ya WhatsApp piga Whatsapp call ndio utacheka wanajisahau Lile li kiingereza libovu la west Africa la kuweka O! Mwishoni au Ogaa!!!
kwelo aise nikipiga anasema yupo busy nimpigie mara kidogo ananichatisha
 
Mimi nana WhatsApp mbili moja natumia namba ya Tz moja Kenya Sasa datail zangu za Fb nimewekaga tz. Waliniomba urafiki tukachat akaomba namba ya WhatsApp nikampa ya Kenya nikamwambia mimi nipo Kenya baada ya siku mbili akanitumia air ticket ikionyesha Kuna pasel yangu imetumwa tz KIA maana ndege hiwezi fika Kenya Kuna emergency so wakasema nitume Ela ili pasel isafirishwe Tena kuja Kesha niipoke nilivyo muhuni na mm nikawaambia nipo Tz na picha ya uwanja wa ndege nikawatumia nikawaaambia nimeshasafi toka Kenya kufata mzigo wangu Tz wakanilamba block
 
Mimi nana WhatsApp mbili moja natumia namba ya Tz moja Kenya Sasa datail zangu za Fb nimewekaga tz. Waliniomba urafiki tukachat akaomba namba ya WhatsApp nikampa ya Kenya nikamwambia mimi nipo Kenya baada ya siku mbili akanitumia air ticket ikionyesha Kuna pasel yangu imetumwa tz KIA maana ndege hiwezi fika Kenya Kuna emergency so wakasema nitume Ela ili pasel isafirishwe Tena kuja Kesha niipoke nilivyo muhuni na mm nikawaambia nipo Tz na picha ya uwanja wa ndege nikawatumia nikawaaambia nimeshasafi toka Kenya kufata mzigo wangu Tz wakanilamba block
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safi sana mkuu. wanajikuta wajanja sana
 
Back
Top Bottom