Azniv Protingas
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 335
- 554
Unaelekea kupigwa msomiJuzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba.
mkuu amenichek WhatsApp code number ni +1Unakaribia kupigwa na wahuni wa mitandaoni.
ahaaaa kumbe eheee wazungu nao matapeli asante mkuuWaongo ilishanikuta siku wakituma watakwambia ndege inaishia Ghana hivo atakwambia yeye yuko bize na amemkabidhi rafiki yake akuletee huo mzigo na huyo rafiki atakwambia amepungukiwa pesa na hivo ongezea pesa ya kutuma mzigo kutoka Huko Ghana[emoji23]
kume eheeeSafi. Atakuambia kakutumia kwa FedEx..
Utapigiwa na ofisi ya FedEx Kenya kwa ajili ya kuchukua mzigo wako. Namba ya Kenya itakupigia, itakuambia unapaswa ulipe dollar kadhaa za usafiri uletewe mzigo wako.
Ukituma utapata mzigo wa Maumivu.
sawa mkuu. akiniambia nitume hella situmi najua ni tapeliVikitumwa utupe ushuhuda.
aiseWaongo ilishanikuta siku wakituma watakwambia ndege inaishia Ghana hivo atakwambia yeye yuko bize na amemkabidhi rafiki yake akuletee huo mzigo na huyo rafiki atakwambia amepungukiwa pesa na hivo ongezea pesa ya kutuma mzigo kutoka Huko Ghana[emoji23]
i repeat dont shoot...dont shoot... huyu tunampigaa na bomuuuuuu.Target acquired, i repeat target acquired..
sawaPigwa, pigwa tena.. halafu uje utusimulie umepigwaje mkuu[emoji23]
aiseeHao majamaa washajua wtz wanapenda mtelezo wanakuja kwa gia hiyo mwisho unaambiwa mimi hela haijatosha kama laki tatu na mzigo upo hapa uwanja wa ndege lipia basi na unatumiwa picha kuna pasi laptop TV iPhone na vitu vingine vya thaman ww kivile pangu pakavu tia maji utaenda hata kukopa ili ukamilishe muhamala ukishalipa wasp ajibu ana View sms zako akikuonea huruma sana anakujibu kwa emoj za vicheko haswa ila uamuzi ni wako
akiniambia nitume hella namkachaHao majamaa washajua wtz wanapenda mtelezo wanakuja kwa gia hiyo mwisho unaambiwa mimi hela haijatosha kama laki tatu na mzigo upo hapa uwanja wa ndege lipia basi na unatumiwa picha kuna pasi laptop TV iPhone na vitu vingine vya thaman ww kivile pangu pakavu tia maji utaenda hata kukopa ili ukamilishe muhamala ukishalipa wasp ajibu ana View sms zako akikuonea huruma sana anakujibu kwa emoj za vicheko haswa ila uamuzi ni wako
Juzi bhana kuna pisi ya kizungu iliniomba urafiki facebook, nikakubali tukawa tunachat akaniomba namba ninayotumia WhatsApp nikampa mtoto anasema ananitumia zawadi za simu na laptop.
Sasa hivi hapa nasubiri siku zikifika ataniamba. akiniambia nitume hella apati hata mia mbovu maana matapeli siku hizi wengi