Ni kweli uyasemayo lakini (kwa maelezo ya wataalamu wa afya) MRI ndiyo kipimo cha kuaminika zaidi ktk utabibu mbona sasa huyu mgonjwa wangu alifanyiwa hicho kipimo kikasema hana shida huku yeye akiwa na maumivu makali kiasi alikuwa hawezi kulala usiku kwa maumivu?Dr anategemea vipimo kutoa majibu.
Majibu uliyopewa ni sahihi kabisa.
Pole sana utaponaMsaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Dejane hajamdhihaki mtoa mada, ameuliza kwa ni ya kujua ili aelimike.
Tupunguze kupanic,
Sasa matusi hayana msaada wowote ule
ingekua vyema ungeweka full details mkuuKuna hospital ipo kariakoo jina nimesahau ni ya Wachina hapo vizuri
Unaishi wapi?
Naomba CHIZI VITABU nisaidie jibu kwa ufupi maisha na nguvu inayotuongoza(kama ipo( ipojepoje, hata PM ikibidi. Usiache, muhimu sana. Je ni namba A. 1-2? au ni zaidi B. 2-4? Maana ujinga wangu unaniambia mostlikely ni A. Naomba tudemystfyChizi vitabu.
Umesoma vitabu gani.
Na je ipoje concept yako ya Mungu na maisha kwa ujumla? 1. Je hayupo wala hana control yoyote. 2. Je ni jitu ambalo kwa sababu zisizochunguzika linafanyafanya tu jambo linalojiamulia jenyewe(shit happens). Je? 3. Linafanya mambo yake kwetu kwa kusudi maalumu (things happen for a reason). 4 Au ni sisi pamoja na Mungu tunashirikiana kufanyiza mambo yatokee maishani?(we make things happen)???
Tafadhali naomba jibu lenye mrengo wa hapo juu ndio tushauriane zaidi....
Pengine ana namna ya kupaponya hapo, mbona hamna hekima.Sasa anauliza kama anadisa ili iweje??? Kama sio kumuongezea maumivu mgonjwa
Pole sana Mkuu.Msaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina, hospital paliponifilisi na mri scan, dawa za asili na kisuuna hadi maombi.
Nakata tamaa sasa
Una moyo wa bajaji mkuu jikague.ndio wewe nuzulati.nikikuona moyo unafanya paaaap..Kisha mapigo yanaongeza mwendo kidogo.so nimeshindwa kuhendo.
Ha ha ha , dadekiHebu tujadili mada maswala ya baby waachie watoto😬
Niulizie huyo jamaa anakaa wapi?Usiamini sana shuhuda hizi. Mtu atakwambia fulani alienda kwa fulani akapona, kuna tabibu wa kichina, wa kikorea, Ndodi, Mwamposa, wa kisuna nk nk. Wengi huwa ni wasio na huruma wanaokula pesa za watu wenye matatizo. na ukiwa mgonjwa utajaribu kila kitu kujitibu. Kama hospitali imeshindikana ni ngumu kutibika huko nje.
Pole sana mkuu, unapatikana wapi.Msaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina, hospital paliponifilisi na mri scan, dawa za asili na kisuuna hadi maombi.
Nakata tamaa sasa
Unijibu unapatikana wapi mkuu mimi nitakusaidia.Mbona wengi mnanidhihaki jamani?
Uko mkoa gani?K
Kiuno hadi miguu
Mkuu Nurain ubadili tu ID hawa vijana watakuvunjia heshima.
Mkuu nami napenda kujifunza
Mbona kaacha kiumbe chake kitaabike hivi?