Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kweli. Nilitaka kusema aone namna ya kuishi na hali yake, na hiyo pesa anayofirisiwa na MRI etc imuwezehe kuishi maisha comfortable. Magonjwa kama haya jambo zuri sana ni kujielimisha kuyahusu kadri unavyoweza. Kuishi nayo, matibabu yake na changamoto zake.Umepinga mpaka umesahau kushauri.
Ukienda kwenye uswahili ndiyo atapotea kabisa.Mkuu unaishi ulaya au Amerika? Au sio mswahili mwenzetu!?…..ushawahi kuumwa au kuuguza kweli?
Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Nimekupata mkuu!Neuro kelele zetu na bei za tiba ni hii kuwafilisi watu na hata mifuko ya bima kama NHIF. Hakuna atakayeweza kumudu gharama hIzi. Ni suala la muda tu:
Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?
Nimekupata mkuu!
Mara nyingi nimekuwa nikishauri watu kama huyo kuficha upumbavu wao.Una uhuru wa kuuliza lakini hebu kuwa na sympathy kwa mgonjwa basi. JamiiForums futeni hii comment. It's a bit unfair and degrading to the man.
Kweli kiongozi, kuna mambo yakufanyia masikhara ila sio kumkejeli mgonjwa ilihali huijui baadae yako.Mara nyingi nimekuwa nikishauri watu kama huyo kuficha upumbavu wao.
Pole sana .yesu akusaidie pambana usichoke bila kukata tamaa. Tulimuuguza mtu wakaribu for almost six years now amepona lakin ni maombi na mazoez na dawa zisizoishaMsaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Yeah sometimes ugonjwa ni psychology ya mtu tu.Namfahamu dogo mmoja akiwa na umri around miaka 10 alipata a minor accident.
Tembeaji yake ikawa ya shida kupita maelezo kupelekea kufikishwa hospitali. Vipimo vyote MRI, X-ray vilisemekana kutoa majibu kuwa hakuwa na shida yoyote mwilini.
Ilikuwa hadi Consultant Physician - beberu aliyekuwapo alipoamua kuchukua bakora na kutaka kumcharaza kibazazi ndipo dogo alipotimua mbio kuliko mtu mwingine akitokomea kuondoka hospitalini hapo. 🤣🤣
Huyo ukawa mwisho wa ugonjwa wa dogo.
Hii mambo ya magonjwa wakati mwingine huwa kuna siri kubwa.
Jeshini wakiita malingering.
Asubuhi ukiamka kinywa maziwa ya moto yaliyochanganywa na binzari na siku pia,please achana na soda,Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Sababu hujawahi vunjika na kupelekwa MOI rufaa kutoka hapo RabininsiaDuh pole sana aisee
MRI scan iko expensive… sorry vilianzaje anzaje? Ni kihosp au kidunia 🥹
Ulifanikiwa kufika Rabinnsia hosp?
Sijui kwanini uwa nina imani na kitengo cha mifupa Rabinnsia.
Mungu akuponye
Dr anategemea vipimo kutoa majibu.Hizi hospital kubwa siyo za kuziamini sana nilichogundua madokta huwa hawaendi mbali na jibu linalotoka kwenye kipimo.
Mdogo'angu ameumwa mwaka mzima nikazunguka nae hospital kubwa kasoro MNH sikufika akafanyiwa MRI majibu yakatoka hana anachoumwa aliniacha hoi doctor bingwa wa magonjwa ya mishipa pale KCMC aliposoma MRI results na kumhakikishia dogo huku akiwa macho makavu kwamba yupo fit kuliko u-fit wenyewe mwili wake hauonyeshi ishara ya maradhi yoyote lakini anayeambiwa hivyo analalamika maumivu
Duh...!CHIZI VITABU nenda ikonda pale Kuna wazungu utapona