karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Last week ndio niliona umuhimu wa kuwa na nhif bimaWakati ukiendelea kupambana upone, jitahidi uwe na bima ya nhif hizi kama najali, timiza au wekeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Last week ndio niliona umuhimu wa kuwa na nhif bimaWakati ukiendelea kupambana upone, jitahidi uwe na bima ya nhif hizi kama najali, timiza au wekeza.
Asante mkuu. Nawezaje sasa kutofautisha kati ya Mungu kunijaribu na shetani kuwa kaziniNaam katika vitendo vyake ni kuwajaribu waja wake kuwapima subra na ukweli wao wa kuhimili makadirio yake, wala halifanyi hilo kwa kuwakomoa, bali kuwapandisha daraja zao na kuwasamehe.
Mkuu asante. Hawa wa Mwanza nawapataje nikifika Mwaloni. Wanatumia jina ganiSoma hapa mkuu nimeandika kwaajili yako huu uzi.
Hii tiba ni kiboko ya Magonjwa sugu. Itumie
Anaandika Kenge Salam wanabodi! Maradhi ni moja ya adui mkubwa wa Taifa letu..kila kukicha maradhi yanaibuka leo utaumwa hiki kesho utaumwa kile..hii yote ni kwasababu ya lifestyle yetu kiujumla. .Kikawaida maradhi yamegawanyika kwenye makundi mengi yapo ambayo...www.jamiiforums.com
Okay mkuu, shetani anakuamrisha mambo machafu na maovu hayo ndio majaribu yake na aliyekuumba anaweza kukujaribu kwa majanga au kwa neema pia, makusudio ni upate kumshukuru kwa neema au umnyenyekee yeye peke yake wakati wa shida.Asante mkuu. Nawezaje sasa kutofautisha kati ya Mungu kunijaribu na shetani kuwa kazini
Private msgs ziliwekwa kwa ajili ya nini??Pengine ana namna ya kupaponya hapo, mbona hamna hekima.
Bibi yangu alipooza akawa wa kubebwa huduma zote lakini saivi kapona anatembea tena....alipelekwa ikonda hospital njombe kule.....
Walimpa dawa na kumpiga sindano......nyumbani akawa anatumia dawa,kumchua na kumfanyisha mazoez Kwa kumpitisha kwenye umande wa early morningIkonda inatibu kwa njia Gan
Sababu umeamua kuchagua upande endelea hivyo hivyoNi kweli uyasemayo lakini (kwa maelezo ya wataalamu wa afya) MRI ndiyo kipimo cha kuaminika zaidi ktk utabibu mbona sasa huyu mgonjwa wangu alifanyiwa hicho kipimo kikasema hana shida huku yeye akiwa na maumivu makali kiasi alikuwa hawezi kulala usiku kwa maumivu?
Na huku anakotibiwa anaendelea vizuri unaweza kuniambia kwanini doctors kupitia vipimo stahiki vilivyoidhinishwa waseme hana shida hali ya kuwa ana shida na anaenda kupona sehemu ambayo hata haikutegemewa?
Ukute umegusa wengi ambao sio wagonjwa ila ndo hivyoNa kaka kanijibu vizuri tu wala hakakasirika na nimemuelekeza ila sasa wazaz wa jf wametokwa povu kweli nilikuwa na maana yangu maana hakusema wapi kapooza
Magonjwa yanafilisi sana, kufanya kipimo cha MRI mara moja kwa cash ni sawa na kukata bima ya mwaka mzima ya matibabu kwa mtu mmoja.Last week ndio niliona umuhimu wa kuwa na nhif bima
Walimpa dawa na kumpiga sindano......nyumbani akawa anatumia dawa,kumchua na kumfanyisha mazoez Kwa kumpitisha kwenye umande wa early morning
Hapana ni hospital ya wazungu japo wengi waafrika lakini wanahuduma nzuriWanatibu kienyeji
Maan na mzee wangu ana stroke
Daah mtihani Sana ,vijana wanapanga njama mbaya Sana ,hawajui Mimi Mzee wa Mathna wewe waache TU waje inbox niwapige hela Kazakh destroyer vijana wameoza kwa ngonoMkuu Nurain ubadili tu ID hawa vijana watakuvunjia heshima.
Kwa taarifa Mzee wa kupambania huyu nurain ni mwanaume mwenye ndevu kama steel wire so tengua kauli.
Hujanijibu kama nilivyotegemea but kama ulivyosema ngoja niendelee kukomaa huku tuone mwisho wake,na usichukulie kama nimewadharau matabibu wetu hasha!!!Sababu umeamua kuchagua upande endelea hivyo hivyo
Labda kama una account mbili lkn kwenye post #217 umeni quote wkt mimi kwa huu uzi sijajibu hata hoja yako moja.Hujanijibu kama nilivyotegemea but kama ulivyosema ngoja niendelee kukomaa huku tuone mwisho wake,na usichukulie kama nimewadharau matabibu wetu hasha!!!
Mungu wangu uliyehaiiMsaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina, hospital paliponifilisi na mri scan, dawa za asili na kisuuna hadi maombi.
Nakata tamaa sasa
Sorry sana nilikusudia nim-quote HIMARS natumia browser so hata sijui kimetokea nini maana alichoandika jamaa nakiona kwenye quote niliyofanya na kinasomeka alichonijibu mimi.Labda kama una account mbili lkn kwenye post #217 umeni quote wkt mimi kwa huu uzi sijajibu hata hoja yako moja.
Hahaha wanataka wakufuate PM sijui wakueleze nini mkuu.Daah mtihani Sana ,vijana wanapanga njama mbaya Sana ,hawajui Mimi Mzee wa Mathna wewe waache TU waje inbox niwapige hela Kazakh destroyer vijana wameoza kwa ngono