gemseeker23
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 354
- 246
ukimkuta shee kajinyonga nawewe utajinyonga kwakuwa ni shee. dini haiko hivyo maana ya dini ni kukatazana mabaya na kuamrishana mema sio shee anazini na wewe uzini dini haiko hivyoChunguza kabla ujaongea sana au kuropoka, kuna ma Sheikh, walimu wa dini wanaswali mpaka wanapepesuka, wanalawiti watoto wa Madrasa.
Swala 5 haizuii Nyege. Hakuna namna mtu anaswali mara tano kwa siku halafu bado awe na kiu ya zinaa. Hivyo Hata hizo swala tano ni za kutafuta kuonekana
Malaya 13 au 14 unasema umekuwa malaya?, kuna watu wamekubuhu ww!Habari Wana Jamvi,nahitaj Msaada Wenu Naona Kiza Nimepotea Kwenye Msitu Wenye Giza Na Mbwa Mwitu Wakali. Mimi Ni Kijana Below 25 Years,nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahc.Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingal Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifany Maendeleo Zaid Ya Hyo Anasa. Sivuti Bangi,sigara Wala Pombe. Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo.Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14,kuna Kpind Niliacha
Unajua uzito wa dhambi ya kuacha Swala? Mnasihi ache zinaa apambane na nafsi yake. Kwa namna yoyote usimnasihi aache Swala.amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako
You need spiritual healingHabari Wana Jamvi,nahitaj Msaada Wenu Naona Kiza Nimepotea Kwenye Msitu Wenye Giza Na Mbwa Mwitu Wakali. Mimi Ni Kijana Below 25 Years,nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahc.Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingal Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifany Maendeleo Zaid Ya Hyo Anasa. Sivuti Bangi,sigara Wala Pombe. Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo.Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14,kuna Kpind Niliacha
anapoenda katika zinaa mungu anamuona ila yeye anawaogopa watu wa mtaani kwake anajiheshimu ila hamuogopi muumba wake wala hamjali na ndio anaemuona inamaana ibada kwake ni sawa na kusema kuna mtu nyuma ya paziaUnajua uzito wa dhambi ya kuacha Swala? Mnasihi ache zinaa apambane na nafsi yake. Kwa namna yoyote usimnasihi aache Swala.
Ndio tumnasihi amuogope Mola wake. Ila hatumuambii aache kuswali.anapoenda katika zinaa mungu anamuona ila yeye anawaogopa watu wa mtaani kwake anajiheshimu ila hamuogopi muumba wake wala hamjali na ndio anaemuona inamaana ibada kwake ni sawa na kusema kuna mtu nyuma ya pazia
Nyie waislam si mnaoa tu kwa kilo mbili za mchele.Asante Kwa Ushauri Ngoja Nijipange Inshallah
hakuambiwa aache kuswali nimesema aache moja wapo aache zinaa afanye ibada ama aache ibada aendelee na zinaa nikiwa nafahamu na hata kwa yeyote yule nilazima atajua njia ni ipi na hakuna njia nyingine zaidi yakucha zinaa na kufanya ibada na kufunga sunna zake na m.mungu ni mwenye huruma na kusaheme kwa wenye kutubiaNdio tumnasihi amuogope Mola wake. Ila hatumuambii ache kuswali.
wewe kale kwa shem wacha kilo mbili hata bure unapata kulinga na malezi uliyolelewa nayo ya ucha mungu m.mungu ndio aliekuleta duniani na ndio anaekupa riziki na ndie anaekufisha vyote ni vyakeNyie waislam si mnaoa tu kwa kilo mbili za mchele.
Fanya fasta.
Wapo viumbe waliumbwa hawamkosei mungu wao . sisi ni binadamu.unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini