Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Nimepotea naona giza kwa hii anasa

unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini
Mkuu wewe unaswali? Samahani kwa swali.
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.kwa

Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Kiusalama ni Bora unanunua machangu doa kuliko kupiga punyeto,madhara ya punyeto ni makubwa kuliko sexy orientation ya machangu doa,as long kama unatumia kondomu,kuhusu nini cha kufanya angalia malengo yako na ukiwa na girlfriend ndo gharama zaidi,na usipende kujutia vitu vidogo,only that usiingie mikopo kununua machangudoa,komaa na pesa yako na upunguze frequentlyness na ujue as long mwili uko active hiyo ndo only solution ukitaka familia utajua kwa kwenda ila machangu sio mbaya kwanza naamini hata huwaamini kiviile so uko safe zaidi kwq kutumia kondomu kuepusha kuanzisha familia kijinga.
 
Kijana wa chini ya 25 ndio useme UMEFANIKIWA kukwepa anasa zote?

Basi nkuambie tu BADO HUJASEMA!

Mkuu afu kitu kingine nmegundua una hela sana
Wakati juzi kati nmekutana na malaya bubu
Akanipa ishara
Voda 5000
Tigo 10000
Na ana bonge la mshepuuuu!
Ila sura yake ni kama transfoma la tanesco

We kula mbususu ,hata majilani zako wana yao hawajakwambia tu
 
Pole sana kijana wa hovyo, ngoja nikupe ushauri kidogo

1.usiache kuswali tambua kwamba kinachomtenganisha muumin na kafir ni swala

2. Usiache kufanya toba hata kama kosa linajirudia we fanya toba tu huwezi jua mauti utakufika katika hali gani

3. Omba sana mwisho mwema, fanya sana adhkar na kumbuka kuwa binadam wote ni wakosaji na mbora wenu ni yule mwenye kutubu na usikatie tamaa rehma za Allah.. we endelea kuswali dogo wa ovyo na uache mara moja bado hujazama kwenye kina kirefu

4. Toa sadaka kwa wingi

5. Soma sana surat bakara aya tano za mwanzo, Ayat kursi, na Aya mbili za mwisho

6. Kumbuka Allah akikustir na maovu yako usipende kujianika fanya dhambi zako ziwe siri dogo wa hovyo kila mtu ana maujinga yake unaweza kuta malaya unae nunua na sheikh unaemuamini nae anajipozaga machungu apo

Cha msingi acha mara moja iyo tabia chafu kabla hujawa addicted utashindwa kuoa na hata ukioa utashindwa kutulia na mke wako
 
Mi nadhan kijan wewe bado unaeza kujinasua mi nikuambie kuna mtu anachukua shoga wake anakula anakaa kimya mpaka anakufa hawez kuambia hivi vitu vina msukumo flan kiroho ndo maana hata mtu akiowa haachi? Cha msingi unapambana kimya kimya naamini watu wengi hizi tabia hawapendi na kuziacha NI mziki ?
 
Kijana wa chini ya 25 ndio useme UMEFANIKIWA kukwepa anasa zote?

Basi nkuambie tu BADO HUJASEMA!

Mkuu afu kitu kingine nmegundua una hela sana
Wakati juzi kati nmekutana na malaya bubu
Akanipa ishara
Voda 5000
Tigo 10000
Na ana bonge la mshepuuuu!
Ila sura yake ni kama transfoma la tanesco

We kula mbususu ,hata majilani zako wana yao hawajakwambia tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]we jamaa chenga
 
Pole sana kwa hiyo changamoto

Naelewa hiyo anasa ukiingia kuchomoka si rahisi hata ukioa na uwe na mademu bado utanunua tu hasa ukiwa addicted na wale malaya classic wanaotoa huduma nzuri acha hawa wa mafungu

Nisikudanganye hakuna namna utaacha ila utapumzika tu

Kwa kifupi hakuna ushauri ni wewe tu uamue au ufulie
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Habari!

Pole kwa unayopitia.
Kwa kuwa umetambua tatizo, amini kwamba uko nusu ya njia ya kulitatua.
Suala la msingi ni kujenga dhamila ya MWILI na ROHO (kutoka ndani mwako na uisimamie).

Ni kweli kuwa unaweza kupata uraibu kama ulivyoutaja. Sababu kuu ni sehemu yako ya ubongo kuutegemea uraibu husika kama chanzo cha furaha yako. Na usipopata msisimko toka kwa kianzisha furaha yako basi mwili hupata mgagasiko na hapo mzunguko wa hitaji hujirudia. Hakuna kurogwa.

Kuna mambo unahitaji kuyazingatia ili kujiondoa kwenye hili:

1: Kutambua jinsi ulivyoingia. Ukipotea njia ili urejee vyema ni muhimu kujua sehemu uliyopitia na kupotea la sivyo kesho na keshokutwa utapotea tena. Tafakari na ku-internalize ni vipi uliingia huku. Hii itasaidia wewe kujiondoa kwenye visababishi. Mfano: rafiki, picha za ngono, sehemu unayoishi nk.

2: Zingatia misingi ya dini yako. Hii ina maana usifanye kufuata mambo ya dini kama mkumbo. Ongea na roho wako juu ya umuhimu wa Dini na Muumba kwenye maisha yako. Na je ufanyayo yanaendana?
Hii itakupa nguvu ya kuikataa hali husika pia.

3: Tafuta shughuli mbadala mara upatapo ushawishi au kabla. Hii ni kujijengea uwajibikaji zaidi na kutokuwa na muda mwingi wa ziada. Pia matumixi ya nguvu na akili yako. Hii itakuwa ni chanzo cha furaha yako bila kuvunja taratibu za jamii, dini na Muumba. Mfano: kusikiliza mawaidha, kusoma vitabu vya aina yoyote vivavyokuvutia, kufanya mazoezi, kufanya YOGA.

4: Kujiunga kwenye vipindi au vikundi vya kijamii na kidini vyenye dhamira njema. Hii itakusaidia kuwa busy na mambo ya kijamii na kidini. Hapa utajifunza mengi pia kukuweka busy.

5: Pata mwanasaikolojia wa afya na wa dini. Hawa wataimarisha afya yako ya mwili na roho kwenye kukuimarisha kukwepa vishawishi.

6: Tambua maisha si leo tu, hivyo elekeza pesa zako kwenye shughuli za maendeleo yako ya leo na kesho pia saidia wahitaji mbalimbali. Hii itapunguza kuona hauna wajibu wowote na matumizi yanayohitaji pesa zako (wekeza pesa zako mfano: kwenye mifuko ya hifadhi).

7: Tathmini sababu ya uumbaji wako na thamani unaoupatia. Je ndo fadhila kwa Muumba wako?

8: Tafakari kwa watu wengine wenye kipato. Je hakuna wanaokuzidi kipato? Je nidhamu yao iko kama yako? Je wewe unashindwa nini kudhibiti mwili wako?

NB: FANYA MAAMUZI SAHIHI NA UTAJIONDOA KWENYE UFUNGWA HUU ILI ULETE AMANI NA FURAHA YA KWELI NDANI YA MAISHA YAKO.
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Hali uliyonayo ni sawa na yangu kipindi nina umri huo wa ujana, jambo ambalo unaweza kufanya ni

1. Fikiria hatari unayoweza kuipata kwa kutembea na malaya, mathalani wakakufanyia kitu ambacho kikaujulisha umma kuwa unanunua malaya

2. Fikiria kesho yako unayoitaka na ukubwa wa jina lako

3. Anzisha mahusiano na mtu ambaye unawaza aje kuwa mtu wako wa muda mrefu

Nikupe kisa changu kilichofanya niache kula malaya, tabia niliyoacha mwaka 2011. Nilienda kwa malaya Mwananyamala sehemu ambayo niliizoea wakati huo, nikaenda kwa malaya niliyemzoea. Nilifanya mada zangu na kunyonya matiti kwa sababu nilishamzoea. Niliotoka nikashangaa sioni kitu, na dunia ilikuwa inazunguka kwa kasi. Hali ile ilinifanya nisiweze kutembea umbali mrefu, nilikuwa natembea mita tatu nakaa, nafumba macho nikifumbua naona tena umbali kidogo natembea kwa haraka nakaa tena hadi nikafika kwenye daladala.

Kipindi hiko gari za Mbagala zinapita Mwananyamala, stand ilikuwa Mwenge. Gari ilikuja haikuwa na watu nikapata wasaa wa kulala kwenye siti za nyuma, ila nilifika Kijtonyama nikaona siwezi kuendelea na gari nikashuka....

Majanga niliyopata siku hiyo nikasema sitachukua tena malaya, ndio hadi leo, siwezi beba mwanamke kihovyohovyo.
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Kwanza ndugu yangu nakuusia na kuiusia nafsi yangu mwenyewe kumcha Allah popote pale tulipo. Kwa dhahiri na siri. Popote tulipo Allah anatuona na chochote tunachokifanya kinadhibitiwa. Na atatulipa kwa tunayoyafanya. Hivyo tumuogope Allah. Madhambi yana athari mbaya hata hapa duniani.

Ndugu yangu, haya matamanio ya nafsi zetu ni mtihani. Unatakiwa upambane mno na nafsi yako. Nafsi ni yenye kuamuru maovu, hivyo pambana na nafsi yako. Hiyo ni Jihadi ya kwanza na Jihadi utakayoipigana katika maisha yako yote. Pale unapoteleza basi usibaki katika kughafilika na kung'ang'ania dhambi. Tubia kwa Allah na ukithirishe kuomba maghfira mara nyingi mno mno mno na utie nia kutorudia. Na umuombe sana Allah katika Dua zako akusaidie kuwa katika njia ya sawa. Pia usimsimulie mtu dhambi uliyofanya.


Zinaa ni haramu na ni njia mbaya kabisa

(Qur-an 17: 32)

1698906440973.png


32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya

Ndugu yangu kuna namna tumeelekezwa katika kukidhi haja za kimwili. Tumetakiwa kufuata utaratibu tuliowekewa katika Shari'ah.


(Qur-an 70:29-31)

1698906687514.png


29. Na ambao wanahifadhi tupu zao.

1698906738640.png


30. Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi

1698906780257.png


31. Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka


Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) amesema;
“Enyi kongamano la mabarobaro! Yule miongoni mwenu atakayeweza kuoa basi na aoe. Kwani hilo litamfanya kuteremsha macho zaidi na kuhidhi utupu. Asiyeweza basi afunge. Kwani hiyo kwake ni kinga”

Wameipokea katika “as-Swahiyh” mbili kupitia kwa Ibn Mas´uud."


Hivyo oa ndugu yangu. Kama huwezi kuoa, Huna uwezo wa kuoa basi funga. Kithirisha sana kufunga Sunnah. Funga za kila Jumatatu na Alhamisi, kufunga kila mwezi (wa Hijriya) tarehe 13, 14 na 15 (Funga za siku nyeupe). Ni hayo. Kithirisha sana kufunga.

Na pia jitahidi wakati huu ukijiandaa kuoa, na uko unafunga, jitahidi kujiweka mbali kwa kadri ya uwezo wako na kila kitakachokuchochea kwenda huko. Tazama marafiki zako, jitahidi uwe na marafiki wema wenye dini ambao watakuwa wanakukumbusha kheri na kukukataza na shari. Usiangalie wala kusikiliza mamiziki wala haya mafilamu kabisa wala mavipindi ya hovyo. Achana na kurasa au majukwaa ya mitandao yenye kuchochea jambo hilo. Tafuta darsa za Dini usome. Soma sana Qur-an. Jiweke busy unapokuwa mpweke kwa kufanya mazoezi au kujisomea maarifa sahihi.

Yangu ni hayo tu. Allah anisamehe mimi na wewe ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom