Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Usikurupuke.

Uislam ni mwema sana, upo wazi kabisa, soma:
Qur'an24:
1.
HII NI SURA Tuliyo iteremsha na tukailazimisha; tukateremsha ndani yake Aya zilizo wazi ili mkumbuke. 1
2. Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini. 2
3. 3mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini. 3
4. Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu 4
5. Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Msamehevu, Mwenye kurehemu. 5

Hapo ni wazi umeielewa hukumu ya huyo kijana kwenye alilolileta.
Hapendi analofanga, muite mumcharaze hizo bakora 100. Aombe msamaha na umuozeshe binti yako.
 
Pole sana.

1. Usithubutu kuoa.
Eti ili uache kununua malaya
Kwanza wengi waliooa na kuolewa ndio
wanaongoza kula na kuliwa saana.

Indirect walioolewa ndio wauzaji
(Michepuko mingi na kugongwa nje Kwa
Sana).

Kwahiyo utaoa na kutokana na
changamoto za ndoa utajikuta kwenye
hali mbaya zaidi ya tatizo lako.

Oa utakuwa umeolea wenzako.

2. Tafuta mpenzi kitaa. Tongoza, usiogope.
Wanawake wanapenda kutongozwa. Tongoza hata 20 huwezi kosa wawili watatu.

3. Tafuta kitu cha kufanya kama mazoezi, stori na washkaji, movies, games, jifunze vitu vipya Kwa kusoma au kuuliza. Muda mwingi uwe na dhumuni pia malengo. Jipende Pia

4. Muombe Mungu awe pamoja nawe siku zote.
 
Achukue huu ushauri aufanyie kazi Nina imani utamsaidia
Kwanza pole kwa hiyo changamoto ya kushindwa kuiacha hiyo tabia. Pili inaonekana kwako hiyo ni tabia mbaya na ndiyo maana inakuumiza kila wakati na kutamani kuiacha.

Kwa kawaida ukiona kuna jambo unalifanya halafu baada ya kulifanya unajutia basi jua hilo jambo ni baya kwako siyo kwa watu wengine, kwako wewe.

Unaweza kuachana na hiyo tabia kama utafanya yafuatayo kwa kumaanisha kutoka akilini mwako na moyoni. Zingatia, maanisha akilini na moyoni. Kama kimojawapp kati akili hakipo basi kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea na huo ulevi.

Fanya maamuzi magumu. Maamuzi ya kuacha hiyo tabia kwa dhati ndiyo njia pekee ya wewe kuachana na hiyo tabia. Amua kuanzia leo hii tarehe 02/11/2023 kuwa hutanunua tena ngono na badala yake amua kuoa au kuwa na mpenzi mwenye msimamo, anayehiheshimu, na ambaye utasumbuka kumtongoza na kumpata.

Kuwa na nidhamu. Ukishafanya maamuzi, jipe amri ya kuhakikisha kuwa hutanunua malaya kwa miezi 6 ijayo na hakikisha unasimamia maamuzi yako. Akili yako itakuwa inakukumbusha ununue malaya pindi mwili wako ukijaa na hisia lakini jitahidi kudhibiti. Dhibiti akili yako, mwili wako na hisia zako, siyo kuruhusu kudhibitiwa na vitu hivyo.

Ukifanikisha kufanya hivi kwa miezi 6, basi utakuwa umepiga hatua ya kwanza ya kuacha ulevi wako.

Zingatia pia, tabia zote mbaya ni matokeo ya kutokuwa na malengo na misimamo.

Weka lengo la kifedha ambalo litakufanya kila mwezi uwe na sehemu ya kupeleka pesa. Lengo hilo liwe ni lengo chanya siyo lengo hasi.

Wote mnaonunua malaya acheni bwana hiyo tabia mbaya, na acheni udomo zege. Tafuteni wanawake ambao mtahangaika kuwapata. Jifunzeni kutongoza basi.

Mimi natoka. Utekelezaji mwema
 
unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini
Ok Shukran
 
unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini
Ok Shukran
 
unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini
Ok Shukran
 
Pole sana.

1. Usithubutu kuoa.
Eti ili uache kununua malaya
Kwanza wengi waliooa na kuolewa ndio
wanaongoza kula na kuliwa saana.

Indirect walioolewa ndio wauzaji
(Michepuko mingi na kugongwa nje Kwa
Sana).

Kwahiyo utaoa na kutokana na
changamoto za ndoa utajikuta kwenye
hali mbaya zaidi ya tatizo lako.

Oa utakuwa umeolea wenzako.

2. Tafuta mpenzi kitaa. Tongoza, usiogope.
Wanawake wanapenda kutongozwa. Tongoza hata 20 huwezi kosa wawili watatu.

3. Tafuta kitu cha kufanya kama mazoezi, stori na washkaji, movies, games, jifunze vitu vipya Kwa kusoma au kuuliza. Muda mwingi uwe na dhumuni pia malengo. Jipende Pia

4. Muombe Mungu awe pamoja nawe siku zote.
Ushauri Wa Kishikaji Sana Nimekusoma
 
Wapelekee moto kijana.. ndio mda wake huu.

Baadae utatulia. Trust me.
 
Katika MAISHA ukiona kitu kutoka nje kinaingilia nafsi yako ,Mwili na roho ,na kuanza kukukosesha Amani ujue tayari umeshindwa kuweka uwiano sawa katika MAISHA yako.

Hakikisha unaikataa hiyo hali kwa Kuanzia ndani yako kwa kuwa kujitamkia kwamba sinunui Malaya Wala Mwanamke.

Jambo lolote ukilipa Nguvu kwenye Akili yako na lenyewe litakupa Nguvu hii hipo katika kila kitu ,Ukiipa Kazi Nguvu akilini na yenyewe itakupa nguvu .

As the same ukiwapa Malaya dada poa nguvu katika Akili yako na wenyewe watakupa Nguvu hivyo utakuwa unashangaa MAZINGIRA yako yote utakuwa mtu wa kupendwa na kuwa karibu na madada poa kila ukiwa na hela na hata ukiwa hauna hela.



Hivyo Nguvu ya kutoka hapo ulipo ipo ndani yako , na nguvu ya kubaki ulipo ipo ndani yako.

Hakikisha unatambua thamani yako na hakikisha unakuwa yule ambaye unaishi katika Usafi sio ili watu wakuone Bali kwakuwa unapenda.
Huu ushauri unafiti kote kote
 
But kipi ni Bora uwe hivyo as man au gay...shukuru unahulka hiyo .kunawengine hawana hisia na wanawake ..wamegueka wao kuwa wanawake
 
Dogo unaswali kwa mazoea na sio kiimani.

Au na nyie mna sala za kukalili kama wakatoliki. ??
Haimaanishi Ukisal Hutokosea,nabii Musa Licha Ya Kuwa Nabii Na Kuswal Bado Aliuwa Mtu Hisia Zilimtawala.Ndo Maumbile Ya Bin Adam Yalivyo
 
Mimi nakushauri ushauri utakaokufaa umejaribu kutafuta msaada umekosa mpokee YESU akata hiyo kiu ya kufata madada poa na utakuwa huru kabisa jaribu uone sikutanii huu ndio msaada pekee kwako pengine hutapata msaada wowote nitafute Kwa hii namba na nitakuombea 0658183618
Acha Utapeli Mkuu Hiyo Tabia Haihitaji Maombi
 
Back
Top Bottom