Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Pole sana kijana wa hovyo, ngoja nikupe ushauri kidogo

1.usiache kuswali tambua kwamba kinachomtenganisha muumin na kafir ni swala

2. Usiache kufanya toba hata kama kosa linajirudia we fanya toba tu huwezi jua mauti utakufika katika hali gani

3. Omba sana mwisho mwema, fanya sana adhkar na kumbuka kuwa binadam wote ni wakosaji na mbora wenu ni yule mwenye kutubu na usikatie tamaa rehma za Allah.. we endelea kuswali dogo wa ovyo na uache mara moja bado hujazama kwenye kina kirefu

4. Toa sadaka kwa wingi

5. Soma sana surat bakara aya tano za mwanzo, Ayat kursi, na Aya mbili za mwisho

6. Kumbuka Allah akikustir na maovu yako usipende kujianika fanya dhambi zako ziwe siri dogo wa hovyo kila mtu ana maujinga yake unaweza kuta malaya unae nunua na sheikh unaemuamini nae anajipozaga machungu apo

Cha msingi acha mara moja iyo tabia chafu kabla hujawa addicted utashindwa kuoa na hata ukioa utashindwa kutulia na mke wako
shukran
 
Soma sana neno la Mungu hubadilisha watu, au wanasema omba sana msiingie majaribuni, majaribu yapo ila twapasa kuyaacha na kuyakwepa na sio kuyaendekeza
 
Tafta dada powa, wawili walokidhi haja zako oa, mmoja mke mkubwa na mwingine mke mdogo
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Unanunulia wapi?
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
umenasa au umenaswa?
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Yani hapo badoooo. Mm Ninakaribia 200 mwaka huh ukiisha nafikisha
 
Labda nikusaidie apo kwenye kupoteza pesa,tafuta chimbo la 10k mpk 15 utanishukuru mkuu
Dah badala umpe ushauri mzuri ,unataka umpe unafuu 😀😀jamaa anapigwa parefu wahuni wanatoa buku 3 na 20k tu
 
Iyo Hali mi mwenyewe ilinishikaga aisee ni kama Pepo,kipindi nipo university nilikuwa na addiction na bitches kuliko mademu WA kawaida yaani ukiniletea bitch na demu WA kawaida nachagua bitch,na nilipata bitch mwenye familia yake kabisa akawa ananikaribisha nikalale kwake kabisa sema ni single mother ,naondoka ghetto naenda kwake,na Kila nikipata boom lazima niende kwa bitches kulala nazo ,roho yangu ilikuwa ipo kwa bitches ata nijizuie vipi ata siku iende vipi lazima niende tu,na nimegonga sana bitches za chugga tangu enzi za shivaz na sa hivi picnic,xo, pinpoint,na za kitaa ambazo zinapenda anasa ya pombe,na za mji kasoro bahari pale kahumba,aisee nilichokuja gundua izo bitches ni Zina mambo ya kishirikina sana na Zina jivukisha madawa sana ya waganga yaani madawa ya mvuto na kuvuta mteja akikuita tu lazima akudake na ukijichanganya tu kupiga au kulala naye lazima Kila siku ukienda ilo eneo lazima umchukue yeye,sahivi nimejitahidi kuacha izo issues ila nimepoteza sana pesa na Kuna kipindi nilikuwa na nasa Hadi magono,kwa kifupi kudeal na Malaya ni hatari sana jitahidi kupiga maombi ili kujiondoa kwenye ilo Pepo la kupenda bitches ambalo usikute umetupiwa na hao hao bitches
 
Back
Top Bottom