Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukranPole sana kijana wa hovyo, ngoja nikupe ushauri kidogo
1.usiache kuswali tambua kwamba kinachomtenganisha muumin na kafir ni swala
2. Usiache kufanya toba hata kama kosa linajirudia we fanya toba tu huwezi jua mauti utakufika katika hali gani
3. Omba sana mwisho mwema, fanya sana adhkar na kumbuka kuwa binadam wote ni wakosaji na mbora wenu ni yule mwenye kutubu na usikatie tamaa rehma za Allah.. we endelea kuswali dogo wa ovyo na uache mara moja bado hujazama kwenye kina kirefu
4. Toa sadaka kwa wingi
5. Soma sana surat bakara aya tano za mwanzo, Ayat kursi, na Aya mbili za mwisho
6. Kumbuka Allah akikustir na maovu yako usipende kujianika fanya dhambi zako ziwe siri dogo wa hovyo kila mtu ana maujinga yake unaweza kuta malaya unae nunua na sheikh unaemuamini nae anajipozaga machungu apo
Cha msingi acha mara moja iyo tabia chafu kabla hujawa addicted utashindwa kuoa na hata ukioa utashindwa kutulia na mke wako
Ok Ila Acha Utapel Dhambi Haiachwi Kwa MaombiNenda uombewe uokoke....
Umeitikia tu hutajaribu unacheza na addictionShukran Sana Nitajarbu Fanya Hvo
Huu ushauri unakutupa jehanamu ukiufuata[emoji38]lambalamba wewe acha uoga kikubwa usipate magonjwa
Hakuna kitu kibaya kama fantasy
Unanunulia wapi?Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
That's the reality mkuu...I Think Am Posessed
umenasa au umenaswa?Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Yani hapo badoooo. Mm Ninakaribia 200 mwaka huh ukiisha nafikishaHabari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Dah badala umpe ushauri mzuri ,unataka umpe unafuu 😀😀jamaa anapigwa parefu wahuni wanatoa buku 3 na 20k tuLabda nikusaidie apo kwenye kupoteza pesa,tafuta chimbo la 10k mpk 15 utanishukuru mkuu
14 wachache sana,atuulize tuliokubuhu tangu tupo chuo,dawa yake uyo apelekwe kijijini ambapo hakuna izo issues hataacha tuAnajishtukia wakati wala CV yake haijaharibika kiviile
Sio utapeli unatawaliwa na dhambi na shetani amepandikiza Roho hiyo ndani yako bila kuombeaa na kumpokea Yesu ili akufungue hutapona kamwe na kama unaona ni utapeli sawa Wacha uniite tapeli ila utauhitaji msaada huu siku Moja nipo hapa nasubiriAcha Utapeli Mkuu Hiyo Tabia Haihitaji Maombi