Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Malaya bhana Nina experience nao sana ,ivi uwa hawapati period?😀😀 Nilishashuhudia Malaya anakausha damu ya enzi Kisha anaendelea na job,kudeal na Malaya sio issue mwisho ni kubeba magonjwa na mikosi,
 
Haimaanishi Ukisal Hutokosea,nabii Musa Licha Ya Kuwa Nabii Na Kuswal Bado Aliuwa Mtu Hisia Zilimtawala.Ndo Maumbile Ya Bin Adam Yalivyo
Sasa hapo unakua unasali nini, yaabi umetoka msikitini unaenda kuchapa dada poa??

Swala 5 ni kama vile siku nzima unaswali, sasa saa 2 ile umeswali unaenda kunjunja dada poa, nafsi haikusuti aiseee.
 
Kwa sasa ambao sio dada poa hawazidi asilimia 5 ,kuna ambao sio directly na wa directly, wa directly unalipia huduma mnatemana , wale wengne unalipia huduma na matunzo juu, sasa apo kupanga ni kuchagua.
 
Anaeswali na bado anafanya madhambi tena makubwa kabisa basi huyo swala yake haina athari kwake.

Kikubwa hapo ni UOE tu.
 
Yaani wewe mara 2 tu kwa mwezi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndi unalialia et imekushinda kuacha
Yaani mara 2
 
unaswali kisha unazini na zinaa ni mbaya sana tumeamrishwa tusiikurubie kabisa maana inaleta ufukara nakushauri oa ikiwa huwezi funga j.3 na alkhamis maana usimchezee muumba wako leo unazini unapata dhambi maana umemkosea muumba wako kisha unaswali upunguza madhambi hakuna kitu kama hicho amua tubu na uache ama uendelee na zinaa uache kuswali maamuzi ni yako nchi haina dini ila wananchi wanadini
Mkuu wewe unaswali? Samahani kwa swali
namshukuru mungu naswali ila sijakamilika na ninakosea nakubali kuelekezwa
Kama umekiri unakosea basi na mleta mada naye anakosea.

Ninachoamini ukiwa mwanadamu huwezi ishi bila kutenda dhambi
 
Ongeza kuswali, dhuhha..qablia, baadia, tahajud. Soma Qur-an...funga juma3 na alkhamis...toa sadaka.....sema Astaghfirullah kila wakati...mwisho kabisa jenga tabia ya kufanya mazoezi kila siku jioni walau kwa lisaa
 
Mkuu wewe unaswali? Samahani kwa swali

Kama umekiri unakosea basi na mleta mada naye anakosea.

Ninachoamini ukiwa mwanadamu huwezi ishi bila kutenda dhambi
ni kweli unachosema kila mwanadam ni mkosaji ila kuna ile ambayo unajua haifai haitakiwi unafahamu kabisa kisha unakifanya kwa mapenzi yako yote
 
Iyo Hali mi mwenyewe ilinishikaga aisee ni kama Pepo,kipindi nipo university nilikuwa na addiction na bitches kuliko mademu WA kawaida yaani ukiniletea bitch na demu WA kawaida nachagua bitch,na nilipata bitch mwenye familia yake kabisa akawa ananikaribisha nikalale kwake kabisa sema ni single mother ,naondoka ghetto naenda kwake,na Kila nikipata boom lazima niende kwa bitches kulala nazo ,roho yangu ilikuwa ipo kwa bitches ata nijizuie vipi ata siku iende vipi lazima niende tu,na nimegonga sana bitches za chugga tangu enzi za shivaz na sa hivi picnic,xo, pinpoint,na za kitaa ambazo zinapenda anasa ya pombe,na za mji kasoro bahari pale kahumba,aisee nilichokuja gundua izo bitches ni Zina mambo ya kishirikina sana na Zina jivukisha madawa sana ya waganga yaani madawa ya mvuto na kuvuta mteja akikuita tu lazima akudake na ukijichanganya tu kupiga au kulala naye lazima Kila siku ukienda ilo eneo lazima umchukue yeye,sahivi nimejitahidi kuacha izo issues ila nimepoteza sana pesa na Kuna kipindi nilikuwa na nasa Hadi magono,kwa kifupi kudeal na Malaya ni hatari sana jitahidi kupiga maombi ili kujiondoa kwenye ilo Pepo la kupenda bitches ambalo usikute umetupiwa na hao hao bitches
Ushauri mzuri sana ila nashangaa eti ana tatizo Hilo na tukimshauri maombi anaita utapeli wakati yupo kwenye vifungo
 
Tafuta mademu uwe unaluka nao daily. Angalau hapo unaweza kureplace Tabia ya zaman kwa kutumia Tabia mpya
Utofauti na anachokifanya itakuwa mi lipi hasa[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]. Tz elimu shida.
 
Back
Top Bottom