Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Tatizo ni wewe mwenyewe.... For mountains to form, there were several forces within.
 
Akhy assalaam alykm.... nimefurahi kuona mchango wako hapa.

Kwangu ni kama sijakuona kitambo au labda huwa tunapita mitaa tofauti maana jf kubwa.
 
Mimi naona kama sitoongea vizuri na kwa usahihi katika kukunasihi ndugu yangu katika Imani, Allah atusamehe sisi na wewe.

Kazakh destroyer
Haya mas- ala mtu anaweza yachukulia kwa wepesi, lakini hili ni suala nyeti sana katika muamala baina ya mtu na nafsi yake.

Sheikh Ibn Al Qayyim ameandika kitabu akakiita ADDA-A WA DDAWA-A, akijibu swali lililoulizwa juu ya mas ala kama haya, yaani mtu anafanya dhambi kisha anatubia, halafu anarudia tena na tena dhambi ileile, yaani ni kama amekwama humo.

Sasa unaweza kuona ni jinsi gani suala kama hili linahitaji jawabu/solution ya kielimu na sio kujibujibu tu.

Na kwa bahati mbaya sikubahatika kukisoma(kusomeshwa) mpaka mwisho, niliambulia tu swafha za mwanzo, ila ni kitabu kizuri sana.
 
Me niliamua kuachana na kila kitu kama msikitini siendi zinaa na mambo mengine mabaya sifanyi nafanya kaz na kurud ndan

Inasikitisha sana yan unanunua dada poa kwa 70k tena mara moja kwa mwezi na pengine unakopa ili ukanunue huoni kuwa una umaskini unakuandama yan mwezi mzima unakosa 70k bado unapenda raha za hvyo si utafte tu hela kwanza
Ukiwa Unasoma Uzi Uwe Unachanganua Pia,kichwa Kisichochanganua Mambo Ni Mzigo Kwa Shingo.Elfu 70 Kwa Mwezi Sio Kwamba Nakosa,naweza Tengeneza Hata Kwa Cku Moja Muda Mwingne Ila Haimaanishi Kila Muda Nitakuwa Nina Pesa Kamili.Mm Sio Mtoto Wa Bakhresa
 
Me niliamua kuachana na kila kitu kama msikitini siendi zinaa na mambo mengine mabaya sifanyi nafanya kaz na kurud ndan

Inasikitisha sana yan unanunua dada poa kwa 70k tena mara moja kwa mwezi na pengine unakopa ili ukanunue huoni kuwa una umaskini unakuandama yan mwezi mzima unakosa 70k bado unapenda raha za hvyo si utafte tu hela kwanza
Nazitafuta Huko Natumia We Endelea Kutafuta Cjui Lini Utazipata Ndo Uanza Kuzitumia,hata Bill Gate Bado Anazitafuta
 
Hujistukii kuswali na ukijua fika ukitoka hapo unaenda kutenda dhambi??
Hata Kama Nitajistukia Haimaanishi Niahirishe Kuswali Kuswali Ni Wajibu.Hebu Tujifunze Dini Waislamu.Tusikate Tamaa Katika Rehma Za Allah,eti Usiswal Kisa Mm Ni Mzinzi Ukiona Unafkiria Hvo Bac Shetan Yupo Kazini Anaongea Na Kichwa Chako "sasa Mm Mzinzi/jambazi Alf Naswali Si Bora Niache" Huyo Ni Shetwan
 
Hata Kama Nitajistukia Haimaanishi Niahirishe Kuswali Kuswali Ni Wajibu.Hebu Tujifunze Dini Waislamu.Tusikate Tamaa Katika Rehma Za Allah,eti Usiswal Kisa Mm Ni Mzinzi Ukiona Unafkiria Hvo Bac Shetan Yupo Kazini Anaongea Na Kichwa Chako "sasa Mm Mzinzi/jambazi Alf Naswali Si Bora Niache" Huyo Ni Shetwan
Nilichomaanisha hapo ni kua ni rahisi kuacha hiyo dhambi ikiwa dhamira inakusuta kila unaposwali.

Badala yake wewe umekimbilia kudhani namaanisha uache kuswali, yaani kwa maana nyingine hauko tayari kuacha huo uzinzi.
 
Haya mas- ala mtu anaweza yachukulia kwa wepesi, lakini hili ni suala nyeti sana katika muamala baina ya mtu na nafsi yake.

Sheikh Ibn Al Qayyim ameandika kitabu akakiita ADDA-A WA DDAWA-A, akijibu swali lililoulizwa juu ya mas ala kama haya, yaani mtu anafanya dhambi kisha anatubia, halafu anarudia tena na tena dhambi ileile, yaani ni kama amekwama humo.

Sasa unaweza kuona ni jinsi gani suala kama hili linahitaji jawabu/solution ya kielimu na sio kujibujibu tu.

Na kwa bahati mbaya sikubahatika kukisoma(kusomeshwa) mpaka mwisho, niliambulia tu swafha za mwanzo, ila ni kitabu kizuri sana.
Super Charged
 

Attachments

pole mkuu,kitachokutesa baada ya kupumzika kwa mda ni zile kumbukumbu(speaking from experience) hasa kama ulikutana na wajuzi,suluhisho ni kuweka lengo la pesa zako mfano kununua kiwanja etc na kwa kias flan itakuwa rahisi maana uchukui wale wa bei rahisi.
 
Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.

Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.

Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.

Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.

Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.

Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.

Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
Oa kwanza kama Bado hujaoa!kama hujaoa unasumbuliwa na upweke tu!!

Ukipata mtu was kudumu tatizo lako litaisha na hutojua limeishaje!!

Unanunua kwasababu hiyo ni asili ya kiumbe dume!lazima upate wa kutuliza hisia zako!!!!

Oa kwanza!
 
Kwa huo uzinzi ww sio wa swala tano bali ww ni wa ng'ombe kumi.
 
pia kitu kingine ni kuwa uwezi acha kwa spidi hivyo hapo umepumzika kwa kias,maana itafikia hatua utakumbuka namaba na group ulizofuta telegram,chakufanya kupunguza makali tafuta replacement,tafuta pisi moja tulia nayo kwa muda.
 
Back
Top Bottom