Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
- Thread starter
-
- #141
Sawa Mwamposa.Nahitaj Maombi Niwe Tajiri Kama Bill GateSio utapeli unatawaliwa na dhambi na shetani amepandikiza Roho hiyo ndani yako bila kuombeaa na kumpokea Yesu ili akufungue hutapona kamwe na kama unaona ni utapeli sawa Wacha uniite tapeli ila utauhitaji msaada huu siku Moja nipo hapa nasubiri
Swala Ni Lazima Haijalishi Unafanya Nini,haimaanish Uache Swala Kisa Uzinzi.Polepole Kupitia Swala NitaachaSasa hapo unakua unasali nini, yaabi umetoka msikitini unaenda kuchapa dada poa??
Swala 5 ni kama vile siku nzima unaswali, sasa saa 2 ile umeswali unaenda kunjunja dada poa, nafsi haikusuti aiseee.
Gharama Hzo Ni Ndogo Ukilinganisha Na Gharama Za Kukaa Na MwanamkeNashukuru kaka, nmesoma mada lakini mpaka sasa kuna sehemu sijaelewa, kwanini asitafute mwanamke aoe, kama anaweza kumudu hizo gharama za kununua hao wa kuuzwa..
Nachojua Mimi Asilimia 90 Za Dhambi Tunazofanya Tunakuwa Tunajua,sisi Sio Watotoni kweli unachosema kila mwanadam ni mkosaji ila kuna ile ambayo unajua haifai haitakiwi unafahamu kabisa kisha unakifanya kwa mapenzi yako yote
Nyie Mnaoswal Kwa Mwamposa Mtanipoteza.Sijaona Muislam Akinishauri Kuombewa.Kuacha Hilo Jambo Unatakiwa Kufanya Juhud Binafs Huko Ukiomba Mungu Akuongoze Katika Jambo UlolianzaUshauri mzuri sana ila nashangaa eti ana tatizo Hilo na tukimshauri maombi anaita utapeli wakati yupo kwenye vifungo
Kila unapofanya hiyo dhambi make sure unatubu na kujutia, Ukifanya hivyo Allah atakuonyesha njia ya kuacha.Habari Wana Jamvi, nahitaji msaada wenu naona kiza nimepotea kwenye msitu wenye giza na mbwa mwitu wakali.
Mimi Ni Kijana Below 25 Years, nimefanikiwa Kukwepa Anasa Zote Lakin Nimejikuta Nadumbukia Kwenye Uraibu Wa Kununua Madada Poa.
Kama Kijana Mwenye Heshima Mtaani Nisiyeacha Ibada(swala Tano) Nimeshindwa Kuwakwepa Madada Poa Tena Wa Bei Kdogo Elfu 50,70 Kwa Mwezi Naweza Nunua Hata 2 Au Nikijizua Sana Mmoja Na Huwa Sinunui Wa Bei Rahisi.
Naumia Sana Kwanza Na Hii Tabia Pili Kupoteza Pesa Tatu Napoteza Heshima Yangu Binafsi Ingali Huwa Nanunua Mbali Na Eneo Wanaonijua Naona Kama Nina Nidhamu Ya Uwoga Naonesha Heshima Kwa Watu Ikifika Usiku Nakuwa Fisi.
Pesa Yangu Haifanyi Maendeleo Zaidi Ya Hiyo Anasa. Sivuti Bangi, sigara Wala Pombe.
Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.
Ni Kipindi Cha Mwaka Mmoja Na Nusu Tangu Nianze Kununua Nishalala Na Wanawake 13 Au 14, kuna Kpind Niliacha.
4 yearsuna muda gan tangu uanze nunua
Mkuu usiongee hivyo, mifano tunayo huku, mtu hapitishi hata swala moja ila ni kicheche kupindukia.Hakuna namna mtu anaswali mara tano kwa siku halafu bado awe na kiu ya zinaa. Hivyo Hata hizo swala tano ni za kutafuta kuonekana
Noma sana 😅Mkuu usiongee hivyo, mifano tunayo huku, mtu hapitishi hata swala moja ila ni kicheche kupindukia.
My closest pal ni noma, akipitisha swala mojani LAZIMA aifidie ila ni moto chini wallah, akiwa na pesa tu anaweza kuwaweka hata wawili kwa siku. Akiwa hana anatulia tuliiii, huwa namwambia heri awe na hela za kawaida manake akizikamata ni noma.Noma sana 😅
Alafu wa hivyo wanakuwaga hodari wa kukemea dhambi😅My closest pal ni noma, akipitisha swala mojani LAZIMA aifidie ila ni moto chini wallah, akiwa na pesa tu anaweza kuwaweka hata wawili kwa siku. Akiwa hana anatulia tuliiii, huwa namwambia heri awe na hela za kawaida manake akizikamata ni noma.
Huwa wanachagua dhambi, binadamu tuna tabia ya kubagua dhambi.Alafu wa hivyo wanakuwaga hodari wa kukemea dhambi😅
Hujistukii kuswali na ukijua fika ukitoka hapo unaenda kutenda dhambi??Swala Ni Lazima Haijalishi Unafanya Nini,haimaanish Uache Swala Kisa Uzinzi.Polepole Kupitia Swala Nitaacha
Mtu yeyote ambaye havuti sigara, havuti bangi, hanywi pombe ulevi wao mkuu ni umalaya.. HahahahhaHakuna namna mtu anaswali mara tano kwa siku halafu bado awe na kiu ya zinaa. Hivyo Hata hizo swala tano ni za kutafuta kuonekana
Nitakuwa wa mwisho kuaminiMtu yeyote ambaye havuti sigara, havuti bangi, hanywi pombe ulevi wao mkuu ni umalaya.. Hahahahha
Umetupiwa jini mahaba...Naomba Kusaidiwa Kuachana Na Hii Tabia Nateseka Sina Amani Ya Moyo. Nipo Kwenye Stage Ambayo Nisiponunua Malaya Ndani Ya Mwezi Naanza Kama Kuumwa Basi Ntakopa Pesa Ili Nikanunue.