Nimepoteza hisia za kimapenzi kwa mke wangu

Nimepoteza hisia za kimapenzi kwa mke wangu

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Wakuu habari za mida hii.

Mwenzenu yamenifika, kwanza kabisa nitangulize salamu kwa wakubwa na wadogo Mahrahaba! Umri wangu ni 33 years Nipo kwenye ndoa yapata miaka 5 sasa na hapa nimebahatika kupata watoto wawili.

Wakuu tatzo lililonisibu nimepoteza hisia za kimapenzi na Mke wangu kabisa, yaani sijawai kumfuma kwamba pengine ndio sababu ya Mimi kupoteza hisia nae ila nadhan chanzo ni tumigogoro tudogo tudogo ambao hata katika familia zingine suala la kupishana kidogo lipo, ila sasa kwangu limezua tatizo,

Mwanzoni sikujua kama nimepoteza hisia kwake ila nilihisi pengine nimepungukiwa nguvu za kushiriki tendo ila la hasha! Baada ya uchunguzi nimegundua tatizo la kupungukiwa uwezo hujitokeza nikiwa na mke wangu tu, Yaani nikijitahidi naweza kupiga push up 2 nikamaliza na hapo hisia hazirud tena na nikimaliza nakumbwa na usingizi sio wa nchi hii yaani ntakuja kustuka asubuhi,

Kwa kweli kiutu huwa namuonea huruma ninavyomuona akiangaika ila unakuta mim kadri anavyohangaika ili nirudie tendo hapo ndo hisia zinakata kabisa yaani hata kama kulikuwa na dalili za kuendelea ila akianza juhudi za kuliamsha dude ndo linalala kabisa mazima,

Nilipata utambuzi kuwa tatizo hili lipo ninapokutana na wife tu ni baada ya juzi katika harakati nikakumbana na concubine flani ivi mwanzo nilikuwa nahofia yasijekunikuta yaleyale ila baada ya kuona mazoea yamezid nikaona isiwe kesi nisije kuonekana namna gani vipi ikabidi nivunje amri ya sita.

Aisee kusema kweli niliniogopa yaani nilipiga kama bao 5 hivi na bado chuma ngenge yaani hadi yule dem alikuw anauliza Mimi ni binadam wa aina gani, na kweli ninavyokumbuka hata wife kilichochangia nimuoe ilikuwa ni show za kibabe zilimdatisha ukiachana pia na harakati za MTU mweusi za hapa na pale,

Baada ya lile tukio nikajaribu tena kwingine napo show ikawa vilevile showkali yaani nimejikuta sasa nimekuwa fuska kwa maana huko nje heshima IPO ila nikirud ndani show mbovu yaani kuna mda hadi nataman nimpe wife simu akaulizie wenzie ila naogopa yy kila Siku ananiambia twende hospital nikatibiwe au kwa mganga ila nikijitafakari najijua tatizo lipo kwake tu, nashindwa kabisa cha kufanya.

Najua hum Jf kuna wajuzi wa mambo naombeni msaada namna ya kujinasua na hili tatzo au kama kuna MTU anaejua chanzo cha hili tatzo anisaidie. Naumia sana pia naona namtesa mtoto wawatu!

Kuna mda inanijia roho ya kutaka niachane nae ili niowe mwanamke mwingine nisimtese ila moyo unakataa wife ni mwanamke mtulivu, mpole, na hana makuu pia ananitunzia siri na madhaifu kama haya yaliyonikuta japokuw yy anaamini nimepungukiwa nguvu za kiume na huwa ananitia moyo sana akisema kuna siku nitatibiwa nitapona.
 
Ulipokesa zaidi ni kuanza ufuska nje!

Hisia zinarudishwa kwa mahaba kaka, jiulize ulimpendea nini? Tokeni nendeni ht viwanja vipya siku moja baasi!unakosea sana kuchepuka naona kabisa ukihamia huko huko!

Halafu kwani bao5 sifa au mnapataga award. Mapenzi starehe mweeh!haya mambo haya
 
Jitahidi kubadilisha mazingira, tafta siku toka naye ukapige show lodge, kuwe na utulivu tofauti na hapo home...

Mfanye kama mchepuko Yani.. badilisha nyakati za kusex pia itaongeza mvuto, hivi ni nani aliyewaambia mkiwa ktk ndoa ni lazma muwe mnashiriki tendo usiku tu?
 
Tubuni na kuiamini injili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20210924_074847.jpg
 
Jitahidi kubadilisha mazingira, tafta siku toka nae ukapige show lodge, kuwe na utulivu tofauti na hapo home... Mfanye kama mchepuko Yani.. badilisha nyakati za kusex pia itaongeza mvuto, hivi ni nani aliyewaambia mkiwa ktk ndoa ni lazma muwe mnashiriki tendo usiku tu????

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ni baharia
 
Wakuu habari za mida hii.
Mwenzenu yamenifika, kwanza kabisa nitangulize salamu kwa wakubwa na wadogo Mahrahaba!
Mkuu wacha nikumegee hii siri.

Hii dhana ya UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ni mchongo ulioibuliwa na waganga wa kienyeji, manabii feki na madaktari lishe ili kupiga pesa!

Mwanaume kama dushee linasimama, wewe uko safi huna upungufu wowote. Swala la kuwahi kumaliza, kushindwa kurudia tendo nk LINATEGEMEA UPO NA MWANAMKE GANI siku hiyo na wala sio upungufu wa nguvu.

Mwanaume ukishakua na mwanamke kwa muda fulani, hua kunajengeka mazoea na kumkinai kiasi kwamba unakua huna tena feelings nae kiviile. Wengi wakiona hivyo wanakimbilia kwa waganga, mitishamba, maombi nk kumbe wala tatizo halipo huko.

Cha kufanya:

Jaribu kufanya hivi. Siku ukitoka nje, jitahidi upige bao sio zaidi ya 1 au 2 tu (usichoke). Kwavile ulishajenga heshima huko nje, haitaleta complain. Siku hiyo hiyo ukirudi home omba mechi kwa wife. Muandae vizuri kabisa halafu piga gemu.

Utaona improvement kubwa sana kwenye performance maana hata kama utapiga kimoja, ila kitachelewa sana kuja.
 
Sambamba na haya, hebu chunguza uke wa Moro.. kwa hao watoto wawili aneza kua na RELAXED VAGINA na hivyo kukupoyezea Ari.. Kama ndio afanye KEGEL'S EXERCISE uone mvuto utavyorud
Mkuu wacha nikumegee hii siri.

Hii dhana ya UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ni mchongo ulioibuliwa na waganga wa kienyeji, manabii feki na madaktari lishe ili kupiga pesa!
 
Mkuu Satani at work, jitahidi urudishe hisia otherwise Unaiweka Ndoa rehani na ni laana tu inakunyemelea.

Nothing is Impossible ni swala tu lakuji tune in kwa mke wako.

Jaribu pia kubadilisha mazingira kidogo , mtoe out! Kuweni na good time together out of Home.

Na jaribu ku clear kila kimgogoro kinachoibuka.(zungumzeni)

And then don't sticky kwa michepuko.
Halafu usijaribu hata siku moja kuwaeleza hao michepuko wako udhaifu ulio nao kwa mkeo, ni loophole ya Shetani kuifutilia mbali hiyo ndoa yako.
 
Miaka 5 eeeh!!!!!


Subiri mkeo ampate wa kumkunja vizuri...si umesema show za kibabe zilimdatisha?

Akidatishwa huko nje, akasombwa ndio utaelewa.


UKITAKA KUJUA THAMANI YA ULICHO NACHO NI PAPE UTAKAPOKIPOTEZA.


Anyway...

Maisha yenu ya ndo yakoje?

Mara ya mwisho KUMTONGOZA mkeo ni lini?

Mara ya mwisho kutoka out na mkeo ni lini?

Mara ya mwisho kumchombeza kimahaba ni lini

Mara ya mwisho kubadili lokesheni lini???

Lini mlijifungia hoteli huko wewe na mkeo tu mle mcheze mnyanduane bila interuptions za watoto????
 
Hili tatizo watu wanaweza kufanya dhihaka lakini lipo, uhsuari mdogo tu labda unaweza kusaidia lakini unaweza kwenda kwa wataalamu unaweza kusaidiwa/ Lakini kwa haraka jaribu kubadilisha routine kidogo halafu hata Perfume anayotumia anaweza kubadilisha kuna vitu vidogo anaweza kufanya mkaondoka kwenye routine maana hata huyo wa nje ukienda kwa huyo huyo kila siku tatizo litarudi palepale.
 
Back
Top Bottom