Nimepoteza hisia za kimapenzi kwa mke wangu

Matured comment ahsant
 
Kwanza msamehe mkeo na wew jisamehe kabisa kutoka moyoni.

Pili tafuta sehem nzur nje ya Nyumba yenu toka na mkeo mkazungumze na kukumbushana kipind mlipokuwa wachumba mambo gan umemis na pia waweza anza kumtania aidha muonekano wa zaman na wasasa huku mkishikan naikibid muend bichi kabisa kupunga upepo. Fanya hivyo kila weekend ukipata nafac itakusaidia kurudisha mapenz kwa mkeo.

Tatu. Anza kumuambia chakula kipi unakipendlea kikiwa kimepikwa na yeye mkeo namuhamasishe akipike unaweza chagua siku moja ndani ya week nahicho chakula mtakula familia nzima ila nyinyi wawili wew namkeo mtalia chumban kama mnamkeka au zuria huku mnalishana na kusifiana.

NNE. Tengeneza tamaduni yakumpelekea zawadi mkeo na kumsifia Mara kwa Mara kuanzia mavaz mpk chakula anachokupikia utamuhamasisha zaid apendlee kuwa smart na kujifunza mapish mbalimbal yatakayokufany uzid kufurah. Kama amekukosea utamkosoa chumban ili watt wasisikie ikibid wakat ukiwa umelal huku umemkumbatia.

Tano. Jilazimishe kila siku kumuambia unampenda na kumkumbusha kuwa yeye niwathaman zaid hapo utarudisha tabasam ndan ya familia naukipenda umbusu kweny paji la uso utamfanya azid kupendz zaid kwan hatokuwa mpwek tena.

Sita. Ili upate hamu ya tendo na mkeo anza kumchombeza vimaneno vya kimapenz mkeo kwa SMS kabla hujarud nyumbn na ikiwezekan mkumbushie style unazopenda msifie anavyokuwezea lazm utatengeneza hisia na hautamkinai mkeo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uck na asbh hata weekend wanaogopa kuchombezan
 
Hebu acha wenge utulie, uache Mke sababu ya kukosa hisia nae!hakika nakuambia hata huko utakakokimbilia kuna wakati utakinai pia.
 
Wakuu habari za mida hii.

Mwenzenu yamenifika, kwanza kabisa nitangulize salamu kwa wakubwa na wadogo Mahrahaba! Umri wangu ni 33 years Nipo kwenye ndoa yapata miaka 5 sasa na hapa nimebahatika kupata watoto wawili.
Kawaida sana mkuu hiyo...yani ww tunafanana kila kitu na mm...kuanzia umri wangu hadi umri wa ndoa...mm iliwahi kunitokea hiyo hali nikaogopa sana...wakati before nilikuwa noma sana kwa wife....Ila hiyo hali ilikuja kupotea bila hata ya kujielewa...sasahivi nimerudi kuwa fresh tuu kama zamani....nadhani ni hali ya mwili tuu.
 
Pole, inabidi uspice up your sex life

Mtombee nje ya home.


Mnunulie sexy lingerie

Flirt nae kabla

Badili namna unamuandaa, sio kila siku uanzie kisimini, anzia hata nyayo zilipo.

Mfanye kwa phonesex.

Haya ni tu kama unataka kuokoa ndoa yako.

Kama unaona jau karibu kitaa huu wakuuzie ufe.
 
Wanaokoments naona wengi (sio wote) hawajawahi kuishi na jinsia ya pili chini ya dari moja kwa angalau miaka2 mfululizo yaani mnalala na kuamka daily
Wengi wanaokoment ni watu wenye vi gelofrend ambavyo wanakutana navyo mara moja kwa miezi miwili ndio wanasema "badilisha location", "nenda nje ya mji", " nenda hotelini", ""tafuta style mpya" n.k.

Hawajui mwaka una siku 365 na hata uwe creative kiasi gani ndani ya mwaka mmoja tu wa ndoa umeshamaliza style zote, umesharudia kila mbinu unayoijua zaidi ya mara 10, umeshamaliza location zote nk. Na hapo bado hamjapata watoto ndio wavuruge kila kitu.

Hili swala dawa ni mchepuko tuu hakuna ujanja... au wake wengi kwa dini zinazoruhusu. Mengine ni porojo tu.
 
Be careful ndugu.....watch your steps....angalia hiy 'Lust' (tamaa/hisia kali za kimapenzi za muda mfupi) zisikuvunjie familia.

Usifanye uamuzi wa kukurupuka, ukaja kukutesa baadae.

Ipende familia yako...Kila laheri
 
Nimewaangalia na wengine hata wapenzi wa miezi 6 conservative under one roof hawajawahi ni watu wa kuibana tu.

Let e'm enjoy while it last.

Kuna watu hata text ya salamu ya mwenza akiiona tu mood inakata hata kama kajuliwa hali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…