Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

Asante kwa ushauri mkuu..hii kitu ipo aina mbili kuna inayolea watoto na inayoua watoto na sio bawasiri ni Likango..nilituma picha humu mod wamefuta
imani itakuua mkuu ,likango inayolea watoto na inayoua watoto!!!Fika hospitali mkuu wakakuangalie upate suluhisho
 
Rhesus factor mkuu acha kupotosha watu kwamba hakuna uhusiano na kundi la damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…