Kama mimba zinaharibika kwa wanawake tofautitofauti, kuna uwezekano una tatizo kwenye vinadaba. Kwahiyo, unahitaji kufanyiwa genetic tests. Pia ujauzito ukiharibika inabidi sample ipelekwe kwa vipimo vya cytogenetics.
Haina uhusiano kabisa na kundi la damu.