Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

Achana kwanza achana na huo ujingavwa likango, Kuna ishu ya rhesus factor (Rh) inakupasa kuwa na mipango juu ya mwanamke unayemtaka awe mama wa wanao, na hapo ndio linakuja suala la kwenda hospital ukiwa na mwenzi wako nakupima vipimo vya damu na hapo doctor atakuja na vimimo. Hata waambia ukweli kuhusu uwezekano wa nyinyi kuweza kupata mtoto kutokana na vipimo. Anaweza akashauri pindi anaposhika mimba tu haraka achomwe sindano ili kutoadhiri ujauzito.
Rh yetu ipo sawa mkuu hakuna shida
 
Ni kama bawasiri mkuu nishauri tu ndugu yangu
Kuna mahali waliandika kuwa mgagani ni dawa ya bawasiri!, unatwanga yale majimaji yake unajiwekea kila siku kwa muda wa siku tatu!.
ila mkuu unahakika ni bawasiri hiyo..?
vipi ulishawahi kwenda kupima sperm zako..?

kama vipi jaribu kutumia habat soda kwa muda hata wa mwezi hivi uone itakuwaje
 
Achana na hao waganga wa jadi, nenda hospital, nimesema hospital na sio zahanati wala kituo cha afya.
 
Unapaka alove vera kila siku au..Na inaondoka kwa muda gani?
Ndiyo Kila siku ikiwezekana hata mara mbili Kwa siku na ukizingatia kutokukaa kwenye kitu kigumu kama kiti.Yaani unakaa chini kwa kukunja miguu kama wanavyokaa watoto au wanavyokaa waislamu wakiwa msikitini.hii husaidia mzunguko wa damu kupitia vizuri kwenye maeneo ambayo bawasiri ipo na hatimaye hupungua na kuisha.Ikishindikana nenda hospitali ukafanyiwe operation japo muda mwingine hurudi
 
Damu yako group gani.kuna group inatakiwa mama achomwe sindano flani
Yes

Blood coagulation, mtoto anafia tumboni sabab ya conflict tu ya blood group.

Shida bongo watu tuko wajinga sana, sasa hio bawasiri-like thing iko kwa mwanaume inaenda kuaffect vp mtoto wakati baada ya mwanaume kumwaga sperm tu role yake kwenye procreation inaishia hapo.
 
Mwanaume mkuu,nimeeleza vizuri mbona
Group la damu yako ni group gani?

Bawasili haiwezi sababisha kufa mtoto. Hakuna kitu kama hicho. Nafikiri tujue group lako la damu ni group gani?
 
Group la damu yako ni group gani?

Bawasili haiwezi sababisha kufa mtoto. Hakuna kitu kama hicho. Nafikiri tujue group lako la damu ni group gani?
O +
 
Yes

Blood coagulation, mtoto anafia tumboni sabab ya conflict tu ya blood group.

Shida bongo watu tuko wajinga sana, sasa hio bawasiri-like thing iko kwa mwanaume inaenda kuaffect vp mtoto wakati baada ya mwanaume kumwaga sperm tu role yake kwenye procreation inaishia hapo.
Ipo mkuu kiasili usiseme hivyo hayajakukuta..Nina rafiki yangu ni Lecturer pale mlimani na yeye ana likango kapoteza mimba kama 10
 
Back
Top Bottom