DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ulifanikiwa kupona tatizo lako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuwa na mtoto lazima?
Ukiishi bila mtoto utakuwa hujakamilika?
Unatuchezea hapa bure, fumbaf zako, kumbe tatizo walijuaO +ve na mama pia 0 +ve
Kama kiimani zaidi namba za daktari nahisi hazitakusaidia. May be upate namba za waganga wa jadi, ila ukifuatilia somo la chumvi la mshana linaweza kukusaidiaNi ishu ya kiimani zaidi mkuu
Sijauliza kwake, nimeuliza kwani kuwa na watoto ni lazima?kwake ni lazima ndio maana anatafuta mtoto
kila mtu na fikra zake.Sijauliza kwake, nimeuliza kwani kuwa na watoto ni lazima?
Hakuna kitu kama hichonenda hospitali achana na wachawiWakuu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tena naombeni msaada wenu.Mwaka 2022 nilileta uzi kuhusu watoto wangu wanaozaliwa na kufa kabla au baada ya kuzaliwa. Sasa mwaka huu tena 2024 nimepoteza watoto wengine wawili kabla ya kuzaliwa wakiwa tumboni.
Baada ya tukio hilo ikabidi kutafuta wazee kuwaomba ushauri.Kuna sehemu huku mkoani nikapelekwa kwa mama mmoja akaniangalia akasema nina likango kwa jina maarufu.
Hii ni kama bawasiri ila sio bawasiri na kazi yake ni moja tu kumaliza watoto. Huota katikati ya tundu la haja kubwa. Nikaambiwa inatakiwa nipate tiba ili niweze kuitwa baba.
Na katika mimba hizo 10 zimepatikana kwa kipindi cha miaka hii miaka4 kwa wanawake tofautitofauti. Nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa mwenye experience na hii kitu aweze kunisaidia jinsi gani nitaiondoa katika mwili wangu.Asanteni 🙏..
Hii picha nilipiga mwaka 2021 ilivyonianza hilo tatizo la likango.
Kila mtu ana fikra zake lakini hilo halina maana kwamba swali hili halina mantiki kwa sababu kila mtu ana fikra zake.kila mtu na fikra zake.
Nitumie hiyo picha PM ili tukushauri vizuriMod wameifuta