Usihofu yupo huko alipo ni nyapara wa makaikaHayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Sipendi kumuona, hata ktk picha. Huyu jamaa alikuwa akitokea kwenye Tv nyumbani ilikuwa lazima niizime. Kweli Mungu fundi.Kwani nini kimetokea jamani???si tulifunga mjadala humu kwamba alikuwa dikiteta!¡!!
Imekuwaje tena
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1991339
Asante Mkuu.Pole sana mkuu, Binafsi Magufuli naamini ndiye Rais bora ambae aliiwaza Tanzannia ya miaka 2050, Magufuli alikuwa kiongozi sema Watanzania wengi wanataka wanasiasa.
Hii picha hapa chini iko ndani kwangu tena chumbani kwangu!
View attachment 1991351
Aliishatambua kuwa safari hii hawezi kupona." mimi napumzika nawaachia nchi yenu" hii nchi yenu. Mungu wangu nipumzishe salama.
Kwani watu waliohusika hawawezi kukamatwaAliishatambua kuwa safari hii hawezi kupona.
Ni mtu ambae katika muda wote wa uongozi wake aliwindwa sana usiku na mchana.
Aliposhauriwa kukaa Chato kwa muda ilikuwa ni katika kujaribu kupooza upepo wa mawindo lakini haikusaidia mpaka alipompokea mzee madevu.
Mzee madevu ndie alikuwa last resort na ikawa hivyo.
Lakini akasema madhari wametimiza lengo lao basi wasubiri aondoke ndio waendelee na mambo yao, ila ameteseka sana mpaka dakika ya mwisho.
Mtindo wa uongozi wa mzee wa pwani si mtindo mzuri kabisa maana unaleta shida wazalisha makundi katika jamii, kwa walio wengi na raha kwa wezi wachache, wahujumu uchumi, waponda mali ya umma, wapigaji pamoja na madalali wa madawa ya kulevya.
Ni mtindo unokufanya uonekane ni dhaifu na kama kiongozi wautumia kutaka uonekane ni mtu wa watu na ulie na huruma hata kwa hawa wachache.
Mama ametuonyesha kwamba ameshindwa kuwamudu hao wachache na sasa wanafanya watakavyo.
Hata kama anasafiri kwenda nje kujaribu kujisafisha kwamba yeye ni tofauti ya JPM lakini wengine twaona kwamba huo ni unafiki wa kiwango cha juu kwani hata Biden bado hakuamini hiyo "notion".
Na hata Boris hataonyesha waziwazi kwamba anaamini mwelekeo wa mama kwani bado wanamtathmini.
Nimejifunza siku nyingi kwamba nchi yetu ni maskini wa kila kitu akili, kufikiri na wananchi wake walo wengi ni wapumbavu na wasojitambua.
Ila ndo hivyo tena waziri mkuu ameanza kampeni ya 2025 na anasafisha njia kwa mama ili kazi ya kushinda bila kupingwa iwe rahisi.
"Shame to all those bunch of crooks who are currently screwing up our country".
Wake up Tanzania!!
Nataka niku-inbox nafanyaje?Mkuu kuhusu Kifo chake kimetokana na nini wala usijali kwani huenda nami kwa niliyoambiwa na Mchongo mzima ulivyokuwa hadi Kufa Kwake nimeanza kuuamini ule Msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO na nina Watu Watatu katika hiyo 'List' huwa nikiwaona tu katika Tv ( Runinga ) huwa nazima kwa Hasira na kubaki Kuwasonya na Kuwatukana tu Kimoyomoyo na Kufuta Machozi ya kutuwahishia Udongoni Chato Mkoani Geita huyu Mwamba wetu.
Popoma!; Hivi ulianza kuliwa mwaka gani?Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Mzee mandevu who was he?Aliishatambua kuwa safari hii hawezi kupona.
Ni mtu ambae katika muda wote wa uongozi wake aliwindwa sana usiku na mchana.
Aliposhauriwa kukaa Chato kwa muda ilikuwa ni katika kujaribu kupooza upepo wa mawindo lakini haikusaidia mpaka alipompokea mzee madevu.
Mzee madevu ndie alikuwa last resort na ikawa hivyo.
Lakini akasema madhari wametimiza lengo lao basi wasubiri aondoke ndio waendelee na mambo yao, ila ameteseka sana mpaka dakika ya mwisho.
Mtindo wa uongozi wa mzee wa pwani si mtindo mzuri kabisa maana unaleta shida wazalisha makundi katika jamii, kwa walio wengi na raha kwa wezi wachache, wahujumu uchumi, waponda mali ya umma, wapigaji pamoja na madalali wa madawa ya kulevya.
Ni mtindo unokufanya uonekane ni dhaifu na kama kiongozi wautumia kutaka uonekane ni mtu wa watu na ulie na huruma hata kwa hawa wachache.
Mama ametuonyesha kwamba ameshindwa kuwamudu hao wachache na sasa wanafanya watakavyo.
Hata kama anasafiri kwenda nje kujaribu kujisafisha kwamba yeye ni tofauti ya JPM lakini wengine twaona kwamba huo ni unafiki wa kiwango cha juu kwani hata Biden bado hakuamini hiyo "notion".
Na hata Boris hataonyesha waziwazi kwamba anaamini mwelekeo wa mama kwani bado wanamtathmini.
Nimejifunza siku nyingi kwamba nchi yetu ni maskini wa kila kitu akili, kufikiri na wananchi wake walo wengi ni wapumbavu na wasojitambua.
Ila ndo hivyo tena waziri mkuu ameanza kampeni ya 2025 na anasafisha njia kwa mama ili kazi ya kushinda bila kupingwa iwe rahisi.
"Shame to all those bunch of crooks who are currently screwing up our country".
Wake up Tanzania!!
Aliishatambua kuwa safari hii hawezi kupona.
Ni mtu ambae katika muda wote wa uongozi wake aliwindwa sana usiku na mchana.
Aliposhauriwa kukaa Chato kwa muda ilikuwa ni katika kujaribu kupooza upepo wa mawindo lakini haikusaidia mpaka alipompokea mzee madevu.
Mzee madevu ndie alikuwa last resort na ikawa hivyo.
Lakini akasema madhari wametimiza lengo lao basi wasubiri aondoke ndio waendelee na mambo yao, ila ameteseka sana mpaka dakika ya mwisho.
Mtindo wa uongozi wa mzee wa pwani si mtindo mzuri kabisa maana unaleta shida wazalisha makundi katika jamii, kwa walio wengi na raha kwa wezi wachache, wahujumu uchumi, waponda mali ya umma, wapigaji pamoja na madalali wa madawa ya kulevya.
Ni mtindo unokufanya uonekane ni dhaifu na kama kiongozi wautumia kutaka uonekane ni mtu wa watu na ulie na huruma hata kwa hawa wachache.
Mama ametuonyesha kwamba ameshindwa kuwamudu hao wachache na sasa wanafanya watakavyo.
Hata kama anasafiri kwenda nje kujaribu kujisafisha kwamba yeye ni tofauti ya JPM lakini wengine twaona kwamba huo ni unafiki wa kiwango cha juu kwani hata Biden bado hakuamini hiyo "notion".
Na hata Boris hataonyesha waziwazi kwamba anaamini mwelekeo wa mama kwani bado wanamtathmini.
Nimejifunza siku nyingi kwamba nchi yetu ni maskini wa kila kitu akili, kufikiri na wananchi wake walo wengi ni wapumbavu na wasojitambua.
Ila ndo hivyo tena waziri mkuu ameanza kampeni ya 2025 na anasafisha njia kwa mama ili kazi ya kushinda bila kupingwa iwe rahisi.
"Shame to all those bunch of crooks who are currently screwing up our country".
Wake up Tanzania!!
VP naye aliponea chupu chupu. May be hata huo u VP kapewa bcoz he know something!Kuna ukakasi, Ben Mkapa, Magufuli, Kijazi, Mfugale, Mahiga inner cycle yote.
Sera ya wasaidizi wake wa karibu, kuponda kila kitu, kumtukana,kumdhalilisha na kuonyesha kwamba kila kitu alichofanya kilikuwa kibaya inashangaza wakati walikuwa na kuamua pamoja.
Mzee Madevu ni naniAliishatambua kuwa safari hii hawezi kupona.
Ni mtu ambae katika muda wote wa uongozi wake aliwindwa sana usiku na mchana.
Aliposhauriwa kukaa Chato kwa muda ilikuwa ni katika kujaribu kupooza upepo wa mawindo lakini haikusaidia mpaka alipompokea mzee madevu.
Mzee madevu ndie alikuwa last resort na ikawa hivyo.
Lakini akasema madhari wametimiza lengo lao basi wasubiri aondoke ndio waendelee na mambo yao, ila ameteseka sana mpaka dakika ya mwisho.
Mtindo wa uongozi wa mzee wa pwani si mtindo mzuri kabisa maana unaleta shida wazalisha makundi katika jamii, kwa walio wengi na raha kwa wezi wachache, wahujumu uchumi, waponda mali ya umma, wapigaji pamoja na madalali wa madawa ya kulevya.
Ni mtindo unokufanya uonekane ni dhaifu na kama kiongozi wautumia kutaka uonekane ni mtu wa watu na ulie na huruma hata kwa hawa wachache.
Mama ametuonyesha kwamba ameshindwa kuwamudu hao wachache na sasa wanafanya watakavyo.
Hata kama anasafiri kwenda nje kujaribu kujisafisha kwamba yeye ni tofauti ya JPM lakini wengine twaona kwamba huo ni unafiki wa kiwango cha juu kwani hata Biden bado hakuamini hiyo "notion".
Na hata Boris hataonyesha waziwazi kwamba anaamini mwelekeo wa mama kwani bado wanamtathmini.
Nimejifunza siku nyingi kwamba nchi yetu ni maskini wa kila kitu akili, kufikiri na wananchi wake walo wengi ni wapumbavu na wasojitambua.
Ila ndo hivyo tena waziri mkuu ameanza kampeni ya 2025 na anasafisha njia kwa mama ili kazi ya kushinda bila kupingwa iwe rahisi.
"Shame to all those bunch of crooks who are currently screwing up our country".
Wake up Tanzania!!
Kuna vitu vinashangaza sana. Wale waliokuwa wanavujisha mambo ya serikali, ikulu sasa hivi wametulia.VP naye aliponea chupu chupu. May be hata huo u VP kapewa bcoz he know something!
Kwetu sisi wazee wa madini huyu ndiye aliyetufumbua macho na kuelewa kwamba kumbe makinikia ndiyo yana dhahabu nyingi zaidi ya dhahabu ya awali. Zamani ilikuwa tuona ni uchafu tu.Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Mkuu wewe ni jambazi? Make JPM aliziba sana liziki za wahalifu na ndiyo wanaomchukiaLabda mkombozi wa familia yako
Jiongeze mkuu mzee mmoja hivi mwenye madevu.
Kwetu sisi wazee wa madini huyu ndiye aliyetufumbua macho na kuelewa kwamba kumbe makinikia ndiyo yana dhahabu nyingi zaidi ya dhahabu ya awali. Zamani ilikuwa tuona ni uchafu tu.
RIP JPM