Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kama wataka Howo Used usichukue kutoka China, zinakuwa na hali isiyoridhisha wana refurbish kuanzia body mpaka Engine, La sivyo upate dealer muaminifu akupe condition sahihi.Kuna howo used za bei nafuu ya kitanzania?
Mkuu wewe si team Man Diesel wajukuu wa HitlerNazikubali DAF
Mkuu ratiba yao ya training inaanzaga mwezi upi na utaratibu unakuaje mtu kujiandikisha ??GGM (Geita Gold Mine) wana Benz fln hv nadhan ni Actros ile, ila hadi leo wakitaka kurepair wanaletwa majamaa kutoka CFAO Motors coz ndo dealer wa benz hapa TZ.
So utaona mara nyingi kama sio dealer basi ni wataalam walospecialize na benz, na hao CFAO huwa wana ratiba ya kutoa mafunzo kwa mafundi mbalimbali almost kila mwaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maninaa weweMAN Fongo au
MjerumaniHivi man ni mfaransanau mjerumani?
Nenda chuo,kisha kasake kazi udereva ulaya au uarabuni zimejaa teleNatamani kujua kuendesha haya mandinga ya long haul.
Hizi new model sio kazi mkuuNatamani kujua kuendesha haya mandinga ya long haul.
Wanajitahidi sana MANMAN TGA scania ajipange
Hello bosses and roses...
Humu watu baadhi wananijua kama computer programmer ila mie ni fundi magari pia. Kiukweli hizi gari za MAN wamejitahidi sana upande wa umeme, wiring iko organized vizuri mno, ukichukua MAN moja na trucks za makampuni mengine zenye range sawa ya bei basi utakuta MAN iko organized vizuri kuzidi hao wengine.
Kwanza kwenye MAN kila waya una namba yake, maboya yote yana ID pia. Hizi gari nyingi za siku hizi kuna miwaya mingi sana, ila wengi hawana mpangilio mzuri kama uliopo kwenye MAN hivo kufanya troubleshooting kuwa ngumu. MAN bila hata kuwa na wiring diagram unatengeneza.
Ila tukija kwa ndugu zetu scania aisee ni kichefuchefu, tena hizi zilizopo humu nchini nyingi kupiga shoti gari zima ni kawaida. Kwa uzoefu wangu kesi za truck kupiga shoti gari zima zinaongozwa na scania, ngoma inapiga shoti hadi main fuse box yote haitamaniki. Hii ni kwa sababu hizi gari organization yake ya wiring ni ya hovyo sana, fundi akigusa akachanganya kdg basi ni shida tayari, kwa MAN ni ngumu sana kuchanganya labda uwe hujui kabisa unalofanya
Na wish nami nije ku push hizi ndinga . Japo wanasema dereva mbobevu ni ambaye ana push zile old modelHizi new model sio kazi mkuu
AutoMkuu kama kuna kitu napenda basi nkujua mifumo ya sensor na gear shifter kwenye hizi chuma
Gari Inaanza kuondoka gear sinaingia but how? Ile process yaku shift gear
Ingia website yao,hata scania wanatoa training piaMkuu ratiba yao ya training inaanzaga mwezi upi na utaratibu unakuaje mtu kujiandikisha ??
Asante