Nimerepair trucks za DAF, Scania, MAN na Benz upande wa umeme lakini MAN tuwape mauwa yao, mpangilio wa mfumo wao wa umeme ni rafiki sana

Nimerepair trucks za DAF, Scania, MAN na Benz upande wa umeme lakini MAN tuwape mauwa yao, mpangilio wa mfumo wao wa umeme ni rafiki sana

Kuna howo used za bei nafuu ya kitanzania?
Kama wataka Howo Used usichukue kutoka China, zinakuwa na hali isiyoridhisha wana refurbish kuanzia body mpaka Engine, La sivyo upate dealer muaminifu akupe condition sahihi.

S.Africa wachina wanaplant ya Howo kule bei ipo chini na zipo kwenye condition nzuri
 
Man Diesel ni gari bora sana ila nimeona ikianza kusumbua ni kichefuchefu kuliko Scania ingawaje kwa uimara na nguvu Man Diesel ni habari nyingine shida ni matunzo inataka sana ufate kanuni zake na dereva awe anajua gari inapotaka kitu chochote ashughulikie haraka tofauti na Scania...kwa Tanzania Scania ipo sawa tu iwe 124,R420 hata hizi V 8 usizikimbie ni gari kweli hazina usumbufu usumbufu....sema ina matatizo ya umeme sana Scania kama mdau alivyochangia na kuanza upya kawaida tuu ingawaje vijana wanajua kwa kuanzia ili gari iendelee na Safari..
 
Ahsante Scania...
 

Attachments

  • 20230206_154324.jpg
    20230206_154324.jpg
    1.1 MB · Views: 24
  • 20230206_155120.jpg
    20230206_155120.jpg
    821.8 KB · Views: 22
  • 20230206_154353.jpg
    20230206_154353.jpg
    632.1 KB · Views: 23
  • 20230206_155105.jpg
    20230206_155105.jpg
    857.7 KB · Views: 27
GGM (Geita Gold Mine) wana Benz fln hv nadhan ni Actros ile, ila hadi leo wakitaka kurepair wanaletwa majamaa kutoka CFAO Motors coz ndo dealer wa benz hapa TZ.

So utaona mara nyingi kama sio dealer basi ni wataalam walospecialize na benz, na hao CFAO huwa wana ratiba ya kutoa mafunzo kwa mafundi mbalimbali almost kila mwaka
Mkuu ratiba yao ya training inaanzaga mwezi upi na utaratibu unakuaje mtu kujiandikisha ??
Asante
 
Mkuu kama kuna kitu napenda basi nkujua mifumo ya sensor na gear shifter kwenye hizi chuma


Gari Inaanza kuondoka gear sinaingia but how? Ile process yaku shift gear
 
Hello bosses and roses...

Humu watu baadhi wananijua kama computer programmer ila mie ni fundi magari pia. Kiukweli hizi gari za MAN wamejitahidi sana upande wa umeme, wiring iko organized vizuri mno, ukichukua MAN moja na trucks za makampuni mengine zenye range sawa ya bei basi utakuta MAN iko organized vizuri kuzidi hao wengine.

Kwanza kwenye MAN kila waya una namba yake, maboya yote yana ID pia. Hizi gari nyingi za siku hizi kuna miwaya mingi sana, ila wengi hawana mpangilio mzuri kama uliopo kwenye MAN hivo kufanya troubleshooting kuwa ngumu. MAN bila hata kuwa na wiring diagram unatengeneza.

Ila tukija kwa ndugu zetu scania aisee ni kichefuchefu, tena hizi zilizopo humu nchini nyingi kupiga shoti gari zima ni kawaida. Kwa uzoefu wangu kesi za truck kupiga shoti gari zima zinaongozwa na scania, ngoma inapiga shoti hadi main fuse box yote haitamaniki. Hii ni kwa sababu hizi gari organization yake ya wiring ni ya hovyo sana, fundi akigusa akachanganya kdg basi ni shida tayari, kwa MAN ni ngumu sana kuchanganya labda uwe hujui kabisa unalofanya

Ni mazoea, uwezo na uelewa, katika maisha yangu yote, gari ambazo nimetumia ukicha 1HZ Mkongs, ni:

  • aud
  • bmw
  • mitsubishi
  • landrover..

Ni gari nzuri na hazisumbui ukizijulia, ila mpaka mafundi wanazilalamikia, kwa nini, mazoea tu.

Kila kitu ukikijua ni friendly tu.
 
Back
Top Bottom