hurrem_sultana
Senior Member
- Sep 6, 2018
- 136
- 361
Ni kwelii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mirror mirror on the wall........
Ila kioo sijui kinakuwaga na mashetani gani kuna mda unaweza kujikuta unafanya maajabu flani hiviiii... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Stripper Yupo Mazoezini!
Utafuta chale bila kupima oil kweli?Mke wako ni mchawi, mlete kwangu akae wiki moja tu, nimtoe uchawi wake wote. Pia ninafuta chale
NakaziaKaa nae chonjo huwenda alitegesha camera sehemu akijirekod ili amtumie mpango wa kando
Sina deep stickUtafuta chale bila kupima oil kweli?
Wakupita..kaa kwa kutulia Sasa hivi nakuletea videoPicha please,afu huu utaratibu wa kuongea bila kuleta vielelezo sijui nani aliuanzisha!!!
Naunga mkonoMkuu maelezo bila picha ni umbea,,,,
πSina deep stick
Anafanya mazoezi ya kumkatia mauno mme mwenza πππIssue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.