Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Sema najaribu kuvuta picha how strange it was,pale ulipomkuta na harakati zake za kuanza kuvaa nguo au kujifunika..au mkuu ilibidi ule mbususu yake?
 
Sema najaribu kuvuta picha how strange it was,pale ulipomkuta na harakati zake za kuanza kuvaa nguo au kujifunika..au mkuu ilibidi ule mbususu yake?
Most likely huyu mke alifanya kwa malengo maana mpaka jamaa anafika chumbani lazima kuna mishe nyingine ziliendelea nje kidogo, milango kabla ya huo wa chumbani kufunguliwa. Unless mchizi anaishi chumba kimoja (studio room), sebule na bedroom ndio hapo hapo [emoji4][emoji4]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Most likely huyu mke alifanya kwa malengo maana mpaka jamaa anafika chumbani lazima kuna mishe nyingine ziliendelea nje kidogo, milango kabla ya huo wa chumbani kufunguliwa. Unless mchizi anaishi chumba kimoja (studio room), sebule na bedroom ndio hapo hapo [emoji4][emoji4]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kama ni studio room si lazima angefunga mlango?..

Jamaa atuambie ilivyokuwa
 
Alijua unarudi ndo maana akavua kabisa ili ufikie kula, badala yake unaleta post jf, bure kabisa.
Umetuangusha.
Na hivi kawaida kihome home wanashindaga na khanga moko tu, alichofanya ni kuitupia kule tu na kuongea kwa ishara kwamba na iwakeee. Sema ndio hivyo mwanetu kashindwa kunata na biti kasikia makelele tu hakuingiza vocal

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Zed unazo unitembezee moja niendelee kusogeza uzi?..ijumaa leo
Kama Zote mkuu na kanovida chake uhakika
JPEG_20210219_120430_3786589726875644442.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitathmini Mkuu wewe ndio utakuwa na matatizo, kikawaida binadamu akiwa pekeyake anaweza fanya vitu vya ajabu ambapo kama mtu alifunga camera atashaa sasa Kukumkuta pekeyake anafanya hivyo tatizo sio lake tatizo ni lako kuingilia privacy yake
 
Kama alikuwa ametega camera ya simu yake au kompyuta basi andika maumivu . Tayali anajiuza mitandaoni kwa kufanya show inaitwa Streep tease
 
Uyo ni muhuni,kuwa makini.
Mkataze mapema kuangalia porn kuna kitu anakitafuta.
Kaa nae chini umuulize anataka nini kisha uwe unampatia.
Kukata viuno na practice zingine za mapenzi au kingono zilianza kuwepo kabla ya Porn kwanini leo mtu akifanya hivyo useme anaiga porn

Hii ni sawa na kumuona dogo anaimbaimba mtaani nakusema unataka kuwa Diamond Heek mziki upo kabla ya Mond.
 
Wakuu kwema?

Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Kama ulikuta kajifungia wewe uliingiaje bila yeye kujua?.....Labda walikuwa na jamaa ikabidi aweke dramma ambazo umeingia moja kwa moja
 
i know its strange. haswa kama hujawah kumkuta akifanya hiko kitu before.
so the best way ni kumuuliza kulikoni. hawa wanawake hawaeleweki sometimes man
akague chumba chote Vzr uckute kuna mjuba ame "chill"ki bad man😂😂
 
Wakuu kwema?

Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Kawaida mbona.Usiwe na wasi mkuu.Huku mwingizia Mkuyenge mkuu?.
 
Una uhakika hakua akijirecord kwenye simu yake kweli?
 
Back
Top Bottom