Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna shida gani ?Issue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.
Kwani kunakigeni kwa huyo mke wakoWakuu kwema?
Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Naam,umeongea kama analyst kweli kweli huwezi kufanya analysis bila evidence!!!!Wakupita..kaa kwa kutulia Sasa hivi nakuletea video
Acha wakatike mkeeKaribuba 80% ya wanawake wanapenda kujitazama maumbo yao kwenye vioo. Na ni lazma akatike kwa namna yoyote ile.
Sasa sisi tutaamini vipi[emoji23]Mkuu maelezo bila picha ni umbea,,,,
Unaishi na chizi. Hili ndiyo jibu sahihi.Wakuu kwema?
Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
I got you siri know its strange. haswa kama hujawah kumkuta akifanya hiko kitu before.
so the best way ni kumuuliza kulikoni. hawa wanawake hawaeleweki sometimes man
Sikuwahi kufikiria hili mkuu.Ni jambo la kawaida kabisa.Kuna watu wakiwa uchi huwa wanajisikia rahaa zaidi.
Ok mkuuUnaishi na chizi. Hili ndiyo jibu sahihi.
Sawa mkuu..nimekuelewaKaa nae chonjo huwenda alitegesha camera sehemu akijirekod ili amtumie mpango wa kando
Anamtuma clip kwa jamaa yakeWakuu kwema?
Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Acha wee..ulikuwa unakata viuno hatari sio?Hata Mimi..nishafanya Hivyo sanaaa
Sasa mkuu maufundi yote anayokupa unadhani amekua malaika au? Mtt kila siku anazidi mautundu on bed unadhani anayajulia wapi? Unatoka mtoko na wyf somewhere unakuta anaicheza sukari kuliko Zuchu mwnyw, kila aina ya uchezaji anaijua na hujawahi mlipia popote kwa ajili ya mafunzo mkuu bdo huwi na walakini? Sio wanawake tu unakutana mzee mtu mzima na heshima zake na kitambi juu hujawahi thubutu ukimuona anacheza ila siku ukimuachia jukwaa anayarudi mayenu si mchezo unadhani ye ni alien? Itoshe kusema tu ni jambo la kawaida itakua ni hatari endapo tu atakua na mchezo wa kujirekodi ila kinyume chake ungempatia na zawadi mkuuWakuu kwema?
Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?