Nimerudi kazini sijamkuta mke wangu, nauliza majirani naambiwa ameondoka kwenda kwao

Ulitekeleza ahadi zako ulizomuahidi wakati wa uchumba?

Kama uliiga utendaji wa ccm usitegemee mkeo aonyeshe uzalendo.
Pambana na hali yako.
 
Kuna jinsi tu unawajibika kwa kuondoka kwake jitafakari
 
mke anauma bhana; yalishanikuta pole mkuu' mwombe mungu atasaidia, kama alikupenda atoweza kuishi kwaaman atarudi tu. kilicho mkimbiza ni upweke tu wa kulala mwenyewe, hapo choma nauli nenda kwao.
 
Mh Leo wewe in mtu wa pili naskia habari hizi...kama hujazaa nae..hapo mzee wa kazi Anza na corolla, Anza maisha upya huko Facebook ulikomuona mwambie asirudi, maana ana vinasaba vya ujambazi huyo..achana nae na hata akitaka kurudi au akirudi na wewe akute ushahama, mfano umeamia lindi.
 
Kama hakuchukua pesa ni ishara kuna ugomvi mkubwa na wewe ndiwe mkorofi, jirekebishe kwa kila unalomkwaza mwenzako. Usitumie ubabe, usimnyanyase, usimsimange, huyo ni ubavu wako wa pili.
Kweli kitendo cha kutochukua Pesa kina onyesha wewe unamkwaza mwenzako fanya umtafute ujirekebisha hakikisha anasema lilimkwaza msiyamalize juu juu tu
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…