Nimesamehe lakini sitasahau

Nimeanza utekelezaji wa kukushughulikia. Muda ndiyo utaamua. Si unadhani kila mtu ni wa kutukana humu ndani. Subiri.
SASA BASI.. UKISHINDWA KUTEKELEZA.


NITAKUA NA WASIWASI NA HAKO KAELIMU KAKO KASHERIA

NITAKUONA NIKM HAWA MAWAKILI WA SERIKALI WANAOULIZA

"wakili....Posta unapajua ????

Shahidi...Hapana.


Wakili...Unapajua Stesheni ???

Shahidi ...Ndio

Wakili...Pale ndio Posta.

Jaji....Sasa niandike nini??

Wakili..mmUnapajua Posta[emoji23][emoji23][emoji23]



Serikali huwa inapoteza sana Pesa kusomesha vichwa maji kama wewe.


HAYA NAKUTAKIA KAZI NJEMA..NASUBIRI UCHURO WAKO.


KMMKE.
 
Nimeanza utekelezaji wa kukushughulikia. Muda ndiyo utaamua. Si unadhani kila mtu ni wa kutukana humu ndani. Subiri.
Unasoma HGK, HGL, HGE, HKL umepata 2 . Au umesoma Ka diploma kann huko. Umeunga.
Umepata kashahada, ,Ukaenda shule ya sheria

Sasa Unajiona Jaji?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Mwenzio huyu hapa chini. wakili uchwara [emoji116][emoji116]



 
[emoji23][emoji23][emoji23] komando wa leo[emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Safari yako imekuwa ngumu na fupi sana hapa Love Connect :

1. Hapa unatafuta mke



2. Hapa ukaleta mrejesho


3. Nawe ukaanza na kutoa ushauri


4. Kazi kwisha. Vilio na majuto. Pole sana!

 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Very simple bro,mwambie no sitaweza kutoa fedha za ada kwakuwa wewe sio baba mzazi,ulifanya hayo yote mlipokuwa pamoja,kwa sasa hampo pamoja,achukue ustaarabu wake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Uncle wako bado atakuwa anasumbuliwa na huo ufala

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu wa mwanamme ni mtaji kwa Mwanamke...
Uelewe Wanawake ni wajanjajanja, usipokuwa makini ukadata kwelikweli kama huyu mtoa mada yeye anakua superficial.

Ni kosa kubwa mwanmme kumpenda mwanamke kindakindaki...

Hiyo love unayompatia Mwanamke kupitiliza ni heri ujipatie nafsi yako...Nafsi yako ukiipenda nayo itakupenda
 
Kwa jinsi unavyotukana na kujifanya mbabe humu jukwaani JF kwa mtu mzima na mwenye uelewa anajifunza kuwa ni mtu wa namna gani. Wewe ni either ni mtu wa kanda ya ziwa Msukuma na bado una ushamba na umwamba/utemi wa kizamani kama JPM, pili umeishi maisha ya kuumizwa/kuteswa utotoni, umekulia
maisha ya kimaskini sasa ndio unajionesha umwamba kama JPM and other sukuma gang, u limbukeni, u mshamba sanaaaaa. Maandishi yako yananena tabia na makuzi yako hata kama hatufahamiani huku. Pole na samahani kwa hilo bro.
 
Nimeanza utekelezaji wa kukushughulikia. Muda ndiyo utaamua. Si unadhani kila mtu ni wa kutukana humu ndani. Subiri.
Msamehe bro, huyo ana mtindo wa ubongo. Mtu mzima na mwenye akili timamu asingeandika hayo aandikayo. Anatukana sana na mods wanamuangalia tu.
 
Umenifanya nicheke kwanguvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…