Nimesamehe lakini sitasahau

Ngosha jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi huyu sio ngosha kweli?
 
Wala hata usiseme Samahani

Nilikua napita pita mahali , sasa nmepata muda Ngoja nikujibu...nakujibu kwa sababu kubwa moja[emoji117]HUWA SIRUHUSU KAULI YA MWISHO YA MTU IJARIBU KUNIPAKA UONGO ".


Kiongozi wa familia yetu( Baba) ni PROF mwajiriwa wa serikali ktk Chuo kkuu kimoja hapa TZ na mkufunzi wa vyuo vikuu kadhaa..

Bi mkubwa ( sitamgusia) .



Kwetu tumezaliwa wengi sitowazungumzia ndugu zangu, ila Tulichagua kusoma kwa sababi Elimu ndio Urithi muhim wa Baba kwa wanawe na, Ninawapongeze wazazi wangu kwakua walisema" Anayetaka kusoma atasomeshwa anapotaka.. Kwa ufupi Mkubwa wetu amemaliza PhD yake Japan.
Na mdogo wa mwisho, yupo Mzumbe anafanya Sheria.


Katika usomaji wetu mpaka tunamaliza masomo ya vyuo vikuu, hamna hata mtoto mmoja aliyesoma shule za serikali ,hayupo hata mmoja...hivo sijawahi hata siku moja kupitia maisha ya mateso na kuumizwa sijui nn, sijawahiiii sijawahiiii hata [emoji23] ( NA VIJANA WENZANGU KAMA UNAHELA, USIPELEKE MTOTO WAKO SHULE YA SERIKALI).


KITABIA, NADHAN KAMA NI KULELEWA WAZAZI WANGU WALIJITAHIDI SANA KUTUISHI KATIKA MAISHA YA DINI SANA SANAAAA , NA HII NDIO SABABU TUMEKUA TUKIZUNGUMZWA VIZURI NDANI YA JAMII.

( Kwa hivo, usirudie kuhisianisha Ninachokiandika humu na malezi toka kwa Baba na Mama yangu)

Kuhusu kabila.

Mimi ni MSUKUMA, , Mfuasi wa mfumo Dume yaan ,mimi kwangu namuishi mwanamke kama ambavyo Biblia inaniongoza, sio mkorofi wala sio mgonvi .( ndio maana ninawatukana nyinyi wanaume mnaolia lia humu sababu ya wanawake kwa uzembe wenu na uzwazwa wenu na uzoba wenu wa kushindwa kujua MIPAKA YA UANAUME WENU).

[emoji123]Binafsi ni DAKTARI DARAJA LA PILI ( hujui tu inakuchukua nn mpaka kumaliza safari ya miaka mitano ) ,NINA VITEGA UCHUMI VYANGU, VINAVYONIPA MIA MIA KILA SIKU IVO sina njaaaaaa, sina shidaa, siwez kukopa mtu, nikikopa nakopa Taasisi za kifedha kwaajili ya mipango yangu ya maisha.

[emoji117]Huku nje , ni wale vijana ambao watu watakuzungumzia hivi.." Kama unaenda pale, hakikisha unamuona Fulani "

Yaan wale vijana ambao, watu wanaenda baadae wanarudi kukushukuru[emoji123]


Ni Baba wa watoto, watoto wazuriiiiiii mnoooo



Miaka yangu ni 29 ivo bado kijana mdogo , nikilinganisha Mafanikio yangu na Umri wangu, huwa namshukuru Muumbaji


CHOCHOTE NACHOKIANDIKA HUMU, NINAKIANDIKA KWA MAKUSUDI YA AKILI YANGU MWENYEWE WALA USIANZE KULINGANISHA FAMILIA.




HIVO NIKUSHAURI, USIJIKITE KUNIJUA , JIKITE NA NINACHOKIANDIKA , HUTAKI KUKIPOA, KIACHE.
 
Piga zinga la block kila sehemu. Pumbavu
 
Nimeishia kwenye points zako na asikoment mwingine maneno kuntu
 
Ndio maana nikasema wewe ni mshamba na Limbukeni na hauna lolote. Hayo yananihusu nini? Unajua mimi ni nani? Nimekuignore na kukudharau na kuwa na siku njema.
 
Ndio maana nikasema wewe ni mshamba na Limbukeni na hauna lolote. Hayo yananihusu nini? Unajua mimi ni nani? Nimekuignore na kukudharau na kuwa na siku njema.
Huna akili una matope kichwani.


Siumeongea ili nikupe Ufafanuzi ??

Nmekupa ,bado tumbo limekuhara??


Ulidhan nmekulia kwenye familia za dhiki ,ufukara na shida kama uliyotoka wewe???


Mbwa kabisa wee.


UKOME.
 
Huna akili una matope kichwani.


Siumeongea ili nikupe Ufafanuzi ??

Nmekupa ,bado tumbo limekuhara??


Ulidhan nmekulia kwenye familia za dhiki ,ufukara na shida kama uliyotoka wewe???


Mbwa kabisa wee.


UKOME.
Haya Hongera na kuwa na siku njema bro ila Jitahidi ufiche uchi wa akili yako mbele za wenzako. Ficha ushamba na ulimbukeni wako.
 
Aisee umemfunda vizuri jamaa yetu,sina Cha kupunguza wala kuongeza.
 
Atakuwa ni WA Dar.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asee,Kuna watu nafikiri mungu kawaumba kwaajili ya kutoa mafunzo tu kwa binadamu wengine...
 
Alimroga au alimbaka
 
Inasemekana ni Mnyaki. Hakuna furushi la kingosha la hivi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila na wewe ukija kunifanyia hivi utanikoma! [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
@Heaven Sent njoo tumuombee baba mchungaji!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani wakati huo hata utajua kama nakufanyia hivyo?
 
Mkuu juzi nimepigiwa simu na mwalimu wa mtoto anasumbua anataka kuongea nami nikaumia Sana nikaongea na mtoto anaonekana kanimis Sana so sauti ya mtoto nikilala inajirudia naumia Sana juu ya mtoto si mama
Kwa kifupi ww ni ndezi halafu inawezekana una matatizo ya kiafya kwahiyo unamtumia huyo mtt kuficha madhaifu yako, walimu wanakusumbua kwani ww ni baba yake ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…