Nimesamehe lakini sitasahau

Acha jamani ada anapeleka vipi wakati baba wa mtoto na mama wananyanduana,hizo ni huruma za wapi?yaani utunze wewe afu watombe wengine?
Heri hata msemee nyie wanawake tukisema ss tunaonekana tuna roho mbaya
 
[emoji2308][emoji2308][emoji2308][emoji2308][emoji2308]
 

Natamani kukushauri ila nashindwa nianzie wapi.

Natumai utapata ushauri sahihi ila mimi nahisi una udhifu. Kama mtoto baba yake yupo, na mmeachana, ni ungese mkubwa sana kwa mwanamke kukutafuta kuhusu ada ya shule wakati anachakatwa na mzazi mwenzake.

Wanaume wenye maamuzi tupo wachache sana.
 
Dah kuna watu mabwege lakn mleta mada na bongolala afadhar ya bwege


Mtoto sio wako unataka umsomeshe wakat baba yake unamjua

Haya baba yako ametosheka na hela

Dada yako hana shida?

Wadogo zako hawana shida?

Mama yako hana shida?

Jiran yako hana shida?

Mkuu umeaibisha wanaume

Single maz n wakutomba na kusepa s wakuweka makazi



.....shtuka mkuu...


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nipe number yake Mkuu
 
Kwa kifupi ww ni ndezi halafu inawezekana una matatizo ya kiafya kwahiyo unamtumia huyo mtt kuficha madhaifu yako, walimu wanakusumbua kwani ww ni baba yake ?
Mkuu punguza ukali naona umechefukwa kwerikwerii
 
Duuuh
 
Mi ni mchungaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeni supraizi

sema nini .embu kua mwanaume mwenye akili tena timamuu, mwanaume wakweli anachukiwa kuonewa,

mwanamke wahivyo ulitakiwa umtwange makofi km
a ya askari wa herode walivyo mtwanga yesu wetu.uku ukiwa umeweka sura ya mbuzii.

mwanaume unatakiwa uchukie upumbavu.mwanaume akichukia dunia inapata tabu.muonyeshe io tabu.

chukua mifano hii[emoji116]

vita ya pili ya dunia ilitokea baada ya mwanaume aldof hitler kuchukia dunia ilipata tabu sana

mkwawa baada ya kuchukia wajerumani walipata tabu sana.na huu ndo uanaume..be man of action

mungu mwenyew anasema tuishi nao kwa akili..sio kwa unyonge na upumbavu..imagine mke wako anakutumia text kua anaenda kut* ,lakini bado unakuja kuomba ushauri hapa pumbavu sana.

ushauri

jitahidi kua na msimamo na maamuzi yako maana siku moja utakuja uingie kingi ya mitego yake.kma umeamua ku move on block uyo shetani.ukimuona fumba macho hadi apite .asipo pita kwakua we nipasta kemea ilo pepo[emoji23] litakimbia tu
 
hadi leo miaka yote m2 hajamtia mimbaa[emoji23]?alikua analewa wa mwenzake..lazima aombwe ada...

akuonyeshwa na kuoteshwa?
kwanini asile wafuasi wake kama wenzie
 
Sawa kabisa
 
Katika maisha utake usitake kuna vipaumbele (priorities). Hata Yesu alivyokuja duniani kipaumbele chake ilikuwa kuwaokoa wenye dhambi na mizigo mizito. Hata wewe hapo ulipo kuna mtu akikuomba hela utamwambia huna, lakini mwingine akikuomba utaenda kukopa kwa jirani ili umpatie. Kaka yangu tafuta weekend kaa peke yako upange mikakati yako na uipe kipaumbele katika maisha yako. Kwa mtazamo wangu huyo mwanamke hatakiwi kuwa kipaumbele kwako ila kama hujajipanga maisha yatakupangia awe kipaumbele chako cha kutafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…