Nimesamehe lakini sitasahau

Ushauri wangu kwako mtoto anakutambua kama babaake lakini sio babaake,aliyekua mkeo anapaswa ajue hilo,Mlipie mtoto kiasi kidogo kwenye account ya shule uwe umetenda wema tu na sio wajibu wako,huo ni utu kwa kumtumia mama yake kwa kipindi chote.Swala la pili mtafute joka jeusi akushauri!JOKA JEUSII NJOOO UNAITWA NA NDUGU YAKO HUKU!
 
Mtoto wake na mwanaume wake then anakuomba ada wewe.

Mkuu kama unapesa kuna watoto yatima kibao hawana wa kuwasomesha chukua mmoja peleka shule
 
Mkuu kama umeamua kumpotezea ww endelea kumpototezea tu , ameshakuona ww ni fall.a ndio maana anazidi kukuletea ufal.a tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]hapana asee....kwa hizo jeuri za mama yake

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Ungekuwa karibu ningekuchapa kofi mbili za fasta. Kwa kifupi hauna akili hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee!
 

[mention]Liverpool VPN [/mention]
 
[emoji117]Et leo naenda kwa mwanaume usinitext??

MAMAEE KABISAA, HUONI HUYO ALITAKA KUKUUA ?? HUONI HAJALI UFANISI WA KAZI ZAKO??

MANINAA KABISAAA WEE, MALAYA MMOJA ASOJITAMBUA, UMEMUOKOTA HUMU NA KESHAZALISHWA , NDIO ANAKUENDESHA KAMA MJINGA????
Vp ss si amtaje jina tu au we waonaje
 
Unatuangusha wanaume.

Fulani alimwaga ugali yule akamwaga mboga.

Uendelee kulea mtoto kwani baba yake ni hayati?
 
UBAYA ,UULIPE KWA UBAYA MARA MBILI.


WEMA ,UULIPE KWA WEMA MARA MBILI.


VIPI WEWE JAMAA???


HAPA DUNIANI MSALITI HASAMEHEWI NA HAPEWI NAFASI YA PILI.

UMEFANIKIWA KUMUACHA, ACHAAAA ,MWAMBIE AKOME KABISA
Dah...uyu mwamba sio bure akapimwe mkojo ,kweli uagwe na mwanamke wako kuwa naenda kuto** afu leo uje apa kutuambia unatoa matumiz ya mtoto asiye wako ???
 
Mkuu nisamehe ila una tatizo.
Najua una huruma na Mtoto, lakin atakutumia kupitia huyo Mtoto anajua ndo wa kukuchapia
Mtupe
 
Kaka pole eb fanya kunicheki inbox nikushauri haya mambo nayajua sana usikubali kupotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…