Nimesema tujiandae kisaikolojia kuhusu miswada ya leo bungeni, Kila kitu anachagua Rais tume ya uchaguzi directly or indirectly

Nimesema tujiandae kisaikolojia kuhusu miswada ya leo bungeni, Kila kitu anachagua Rais tume ya uchaguzi directly or indirectly

Natamani wabunge wa ccm na wanaccm wote wajifunze kwa yaliyomkuta Chenge.

Licha ya kuwa mwana ccm safi hata kuongoza kura za maoni lakini alipigwa chini asigombee ubunge. Naye hakufurukuta kwa vile aliamini hata angeenda upande wa pili asingetoboa kwa kuwa TUME YA UCHAGUZI ni mali ya mtu.

Ninachotaka kusema ni kuwa hakuna aliyesalama kwa tume mbovu ya uchaguzi. Hivyo ni muhimu kila mtu akadai tume ya uchaguzi iwe huru.
Hizo akili hawana.wao wanafikiri wanawakomoa wapinzani wanasahau kua kuna kitu kinachoitwa muda.Muda unaweza kubadilisha uelekeo wa upepo muda wowote,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna shida ya uelewa maana yake hsta hao wanaoongoza nao wana tatizo la uelewa.Kwasababu wao ndio walipaswa kuondoa huo ujinga.Wewe ni moja ya hao wasio na uelewa ujijui tu ndo maana unaandika ujinga wakati sheria za nchi na katiba yenye kutambua uchaguzi na vyama vingi mlitengeneza wenyewe.Huna tofauti na yule aliyesema katiba ni kitabu tu wakati ndicho kilichomfanya akawepo hapo alipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipata chai asubuhi!!...ni kweli,katiba ni kitabu tu,unaweza kuibadili si msahafu,ni mawazo ya Nyerere na wenzie huko nyuma,miaka zaidi ya 55 iliyopita
 
Back
Top Bottom