Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
af chuma haiendiMsafiri kafiri.
Bajaji itafika unakoenda Ila njiani utakaa kila mkao wa kuendesha bajaji kama vijana wa mjini utakaa tako moja, upande upande na kunin'iniza miguu nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
af chuma haiendiMsafiri kafiri.
Bajaji itafika unakoenda Ila njiani utakaa kila mkao wa kuendesha bajaji kama vijana wa mjini utakaa tako moja, upande upande na kunin'iniza miguu nje.
Balaa tupu, kama bajaji maximum speed ni 80kph hiyo tena unaipata ukiivuta kwenye mteremko.af chuma haiendi
mule hamna chomboBalaa tupu, kama bajaji maximum speed ni 80kph hiyo tena unaipata ukiivuta kwenye mteremko.
Sasa kama kanunua bajaji zile Piaggio kama za kubeba abiria Kariakoo-Ferry hata uivute vipi upati 60kph na inapiga kelele kama power tiller na yana Sharti la mganga la kutoendeshwa kwenye RPM kubwa ukibishana nalo unaua injini.
Naombeni ushauri wenu katika hili. Mambo yamekuwa tight kidogo nlisafiri Tanga nimerudi now nataka kwenda Mwanza. Gari nilizo nazo zina CC kubwa na mambo yamekuwa mengi sitaki shida January watoto wawili wanasoma Int. school n.k
Sasa nmewaza nikagundua naumiza kichwa bure tu nina bajaji nmenunua ina week tatu. Nlimnunulia Bwana mdogo aifanyie Biashara. Actually sijamwambia kama ni yake maana hachelewi kuanza ujinga. Huyu kamaliza Chuo mambo hayajakaa sawa. Nmenunua Bajaj yeye ndo ajue cha kufanya.
Basi nikaona why nisiende nayo Mwanza? Maana na yenyewe inatakiwa kupiga kazi Mwanza. So nikawaza Mimi,Wife na yeye Bwana Mdogo si tunaweza enda nayo? Au uzoefu unasemaje?
Inamaliza km 600 kwa sikuMwanza to Dar 1127km
Kwa kuanza tu Bajaji itaweza tembea kilometa ngp kwa siku?
Niliwahi tembea na boda km400 toka SAA 6mchana mpaka saa 12 jioni km60/saa Bajaji itatembea vizuri tu Ila atalala njiani Sik 1.Mwanza to Dar 1127km
Kwa kuanza tu Bajaji itaweza tembea kilometa ngp kwa siku?
Mkuu hapo unaendesha kiuoga sana.Mie nilitembea mby to Njombe kituo kilikuwa makambako. Kwa bajaji mpya anaweza gonga km500 ndio apumzike, aondoke usiku mwingi( saa 8 ) ,Barbara inakuwa imetulia, hakuna magari mengi injini haichemki, atainjoi safari.Ila akiondoka asubuhi hatokuja kutamani kusafiri na bajaji au pikipiki.Mkono ndio huwa inachoka kushikilia.400km inaweza, kila baada ya 100km kituo cha dakika 15-20, mwendo 70km per hour
Mi10 kufanya nini mtu anaenda mwanza akitokea dar?LAzima mgongwe na simba pale mikumi
Achaa kupigwa pesa na hizo shule za Wajanja, hao Watoto wawili January peleka shule za Magufuli ni bure,na utakuja nishukuru!!Naombeni ushauri wenu katika hili. Mambo yamekuwa tight kidogo nlisafiri Tanga nimerudi now nataka kwenda Mwanza. Gari nilizo nazo zina CC kubwa na mambo yamekuwa mengi sitaki shida January watoto wawili wanasoma Int. school n.k
Sasa nmewaza nikagundua naumiza kichwa bure tu nina bajaji nmenunua ina week tatu. Nlimnunulia Bwana mdogo aifanyie Biashara. Actually sijamwambia kama ni yake maana hachelewi kuanza ujinga. Huyu kamaliza Chuo mambo hayajakaa sawa. Nmenunua Bajaj yeye ndo ajue cha kufanya.
Basi nikaona why nisiende nayo Mwanza? Maana na yenyewe inatakiwa kupiga kazi Mwanza. So nikawaza Mimi,Wife na yeye Bwana Mdogo si tunaweza enda nayo? Au uzoefu unasemaje?
Atembeee 80 km/hTop speed ya bajaj haifiki 100 km/h
Sasa boss hapo utatumia hata siku 3 njain. Kufika utafika ila utakawia sana[emoji3]
Mkuu acha kumdanganya atatumia mwezi kufika darInaweza kufika ila vituo vitakiwa vingi sana ili kuipoza na hii itakuchukuwa hata siku tatu kabla ya kufika...
Ama kidonge cha flagil umeze kwa konyagi ila sio kutazama x mbele ya wazazi!Ni hatari kama kucheza na mamba kwenye maji
Au safari ya dar 2 mwanza kwa bajij
Alisikika msanii wa kizaz kipya akiimba
Mbona kuna waliotembea Kwa miguu kutoka Butihama mpk Dom kuunga Juhudi!?Ni hatari kama kucheza na mamba kwenye maji
Au safari ya dar 2 mwanza kwa bajij
Alisikika msanii wa kizaz kipya akiimba