Nimeshafanya Service Bajaji yangu nataka kuondoka kwenda Mwanza na abiria wawili

Nimeshafanya Service Bajaji yangu nataka kuondoka kwenda Mwanza na abiria wawili

Bajaji was not designed for such long safari !
Naombeni ushauri wenu katika hili. Mambo yamekuwa tight kidogo nlisafiri Tanga nimerudi now nataka kwenda Mwanza. Gari nilizo nazo zina CC kubwa na mambo yamekuwa mengi sitaki shida January watoto wawili wanasoma Int. school n.k

Sasa nmewaza nikagundua naumiza kichwa bure tu nina bajaji nmenunua ina week tatu. Nlimnunulia Bwana mdogo aifanyie Biashara. Actually sijamwambia kama ni yake maana hachelewi kuanza ujinga. Huyu kamaliza Chuo mambo hayajakaa sawa. Nmenunua Bajaj yeye ndo ajue cha kufanya.

Basi nikaona why nisiende nayo Mwanza? Maana na yenyewe inatakiwa kupiga kazi Mwanza. So nikawaza Mimi,Wife na yeye Bwana Mdogo si tunaweza enda nayo? Au uzoefu unasemaje?
 
Naombeni ushauri wenu katika hili. Mambo yamekuwa tight kidogo nlisafiri Tanga nimerudi now nataka kwenda Mwanza. Gari nilizo nazo zina CC kubwa na mambo yamekuwa mengi sitaki shida January watoto wawili wanasoma Int. school n.k

Sasa nmewaza nikagundua naumiza kichwa bure tu nina bajaji nmenunua ina week tatu. Nlimnunulia Bwana mdogo aifanyie Biashara. Actually sijamwambia kama ni yake maana hachelewi kuanza ujinga. Huyu kamaliza Chuo mambo hayajakaa sawa. Nmenunua Bajaj yeye ndo ajue cha kufanya.

Basi nikaona why nisiende nayo Mwanza? Maana na yenyewe inatakiwa kupiga kazi Mwanza. So nikawaza Mimi,Wife na yeye Bwana Mdogo si tunaweza enda nayo? Au uzoefu unasemaje?
Labda tufanye mahesabu ndiyo yatuamulie.Dar-Mwz karibu km 1200

Kwa sbb bajaji itatembea kwa kusimama simama ili ipoe, ikitembea km 300 itakuwa imeshakuwa usiku tayari

so mwanza utatumia siku 4.

Kila kituo wewe na ndugu zako kuna gharama za kulala na na kula,chukulia wewe kwa hadhi ya familia yako ,sababu tayari una miliki gari lenye cc kubwa , utatuia 100,000/- kula na kulala kwa wote kwa siku 1, × 4 days ,400,000

Mafuta ya bajaji utatumia 92,000/ inaweza kuzidi kulinga na weight ya abilia wako

weka 60,000/-kwa ajili ya ku-shoeshine viatu vya maafande njiani.

Service ndogo ndogo njiani 50,000/

So piga hesabu mwenyewe kama hiyo option cost efective
 
Mkuu hapo unaendesha kiuoga sana.Mie nilitembea mby to Njombe kituo kilikuwa makambako. Kwa bajaji mpya anaweza gonga km500 ndio apumzike, aondoke usiku mwingi( saa 8 ) ,Barbara inakuwa imetulia, hakuna magari mengi injini haichemki, atainjoi safari.Ila akiondoka asubuhi hatokuja kutamani kusafiri na bajaji au pikipiki.Mkono ndio huwa inachoka kushikilia.
Wazo lako ni zuri la kutembea usiku lakini ni vizuri akipumzika kila baada ya 100km kwa ajili ya kutunza engine na yeye mwenyewe kupumzika
 
Amna kitu apo.
fikiria njia nyingine ya nyinyi kufika Mwanza. iyo ya kwenda na bajaji piga chini.
 
Wadau mbona kama mnanichanganya?jamaa wawili wanasema wameshawah enda tena mmoja alienda mpaka Musoma. Mi najua nikiisimamia hii bajaji nikakanyaga accerator mpka mwisho.kitu lazim kinyooke. Tena nataka niendeshe mwenyewe nimsipe bwana mdogo.maana hana uzoef.
Bajaji imeandikwa kabisa "never drive at full throttle before 1000kms" wakati huo huo unataka uvute moto hadi mwisho, uko timamu kweli?
 
Niliwahi tembea na boda km400 toka SAA 6mchana mpaka saa 12 jioni km60/saa Bajaji itatembea vizuri tu Ila atalala njiani Sik 1.
Aondoke saa nane ya usiku ili saa 2 asubu awe anaitafuta Dodoma.
Morogoro apoze inji dk 15 kituo cha pili Dom hio itakuwa saa 4
Atakula na kutembea.Ataenda kulala slShinyanga kama anapenda, au ansliunga saa 10 Alf ataingia kwanza.
Hapo ni 60Km/ kwa saa kama atapngeza spidi kwanza saa4.
Kumbuka kutoka saa 8 ya usiku dar.
Binafsi safari za pikipiki huwa naondoka kati ya saa 8,9 au kumi.Pikipiki haichemki na wala hauchoki sana.
Tena hiyo ya kutembea usiku unataka kummaliza mwenzio. Asijaribu.

Barabara ya Dar-Moro muda wote ina magari. Hiyo saa 8 usiku sehemu hakuna gari nyingi ni hapo Kimara tu ila ukishaanza kuingia mkoa wa Pwani barabara iko busy na ma-lorry na gari binafsi kibao. Na zinakimbia hatari coz hakuna tochi.

Kumbuka Bajaji ina taa hafifu sana. Haimuliki hata mita 20, speed 60km/hr inaanza kuyumba. Pia haina balance ya kukwepa kitu ghafla.

Asijaribu usiku.
NB: najua hii ya jamaa ni chai ila nimejibu kwa faida ya wasomaji wengi wenye wazo kama hili
 
Ohhhh....
That's cool brother...[emoji847]
Wanao wanasoma international school..[emoji849]
Una gari ina cc kumbwa...[emoji28]
Mdogo wako umemuwezesha bajaji..[emoji1787]
Umechukua point tatu muhimu na mchezo umekwishaaaa...
 
Too fishy to believe!

The only soln u gonna take ni kuipakia kwa roli haitazidi hata laki na nusu, inapokelewa vzr Mwanza (ni ushauri kwa mwenye akili tu)
 
Back
Top Bottom