Nimeshafanya Service Bajaji yangu nataka kuondoka kwenda Mwanza na abiria wawili

Nimeshafanya Service Bajaji yangu nataka kuondoka kwenda Mwanza na abiria wawili

Naombeni ushauri wenu katika hili. Mambo yamekuwa tight kidogo nlisafiri Tanga nimerudi now nataka kwenda Mwanza. Gari nilizo nazo zina CC kubwa na mambo yamekuwa mengi sitaki shida January watoto wawili wanasoma Int. school n.k

Sasa nmewaza nikagundua naumiza kichwa bure tu nina bajaji nmenunua ina week tatu. Nlimnunulia Bwana mdogo aifanyie Biashara. Actually sijamwambia kama ni yake maana hachelewi kuanza ujinga. Huyu kamaliza Chuo mambo hayajakaa sawa. Nmenunua Bajaj yeye ndo ajue cha kufanya.

Basi nikaona why nisiende nayo Mwanza? Maana na yenyewe inatakiwa kupiga kazi Mwanza. So nikawaza Mimi,Wife na yeye Bwana Mdogo si tunaweza enda nayo? Au uzoefu unasemaje?
Kufika utafika tu ila si kwa mateso hayo unayotaka kumpa mkeo....Just imagine km zaidi ya 1000 mke kakalisha tako kwenye ile siti ya bajaji..

Tuchukulie kwa mfano mimi ndiyo mkeo..
Nitapanda hiyo bajaji yako tukifika tu Mbezi mwisho hapo naomba nikakojoe, sirudi Tena hiyo ndiyo talaka yangu..

Ukifika tu Mwanza, naolewa na jamaa mwenye Murano au Tako la nyani..

Ukitoka Mwanza, unanikuta nina ujauzito wa miezi 6..

The hell with you..[emoji48][emoji83][emoji83][emoji48][emoji48][emoji83]
 
Kufika utafika tu ila si kwa mateso hayo unayotaka kumpa mkeo....Just imagine km zaidi ya 1000 mke kakalisha tako kwenye ile siti ya bajaji..

Tuchukulie kwa mfano mimi ndiyo mkeo..
Nitapanda hiyo bajaji yako tukifika tu Mbezi mwisho hapo naomba nikakojoe, sirudi Tena hiyo ndiyo talaka yangu..

Ukifika tu Mwanza, naolewa na jamaa mwenye Murano au Tako la nyani..

Ukitoka Mwanza, unanikuta nina ujauzito wa miezi 6..

The hell with you..[emoji48][emoji83][emoji83][emoji48][emoji48][emoji83]
Wife ana matako makubwa so hatoumia kukaa. Kukojoa si namsindikiza ili nami angalau nikakojoe hata mara moja moja?
 
Wife ana matako makubwa so hatoumia kukaa. Kukojoa si namsindikiza ili nami angalau nikakojoe hata mara moja moja?
Aisee..ukisema ana matako makubwa unatuumiza wengine roho..[emoji15][emoji15][emoji15]

Lakini huko chooni si kila mtu anaenda upande wake..?

Huko huko ndiyo anatokomea kusikojulikana..[emoji1][emoji1]
 
Mh hata usitishwe na yeyoote tembea tu ,ukifik dodoma pumzika ,kesho yake ulale igunga siku itakayofuata ni zooo so waache waongo hao ,nimewahi kutoka na bajaj from dsm to misoma tena bila wasiwsmasi yaani ,ukiwa na maswali njoo pm,chuma mwaka wa 4 sasa inapiga kazi mkendo
Misoma ndio wapi huko?
 
Uza hizo gari za CC kubwa nunua ist maisha yaendelee...kwa usafiri wa bajaji andika wosia kabisa...maana huko barabarani wewe ndio utakuwa mnyonge kila mmoja atakuwa anakuletea usoni wewe hivyo lazima wakuokote mtaroni ama wakusagie kwenye bajaji humo humo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa roli kama n kuileta mwanza na ww ukapanda kwenye hilo lori n kama laki mbil sasa ya nn kuifksha bajaj mwanza kama imetoka kwenye vita ya pili ya dunia
 
Kufika utafika tu ila si kwa mateso hayo unayotaka kumpa mkeo....Just imagine km zaidi ya 1000 mke kakalisha tako kwenye ile siti ya bajaji..

Tuchukulie kwa mfano mimi ndiyo mkeo..
Nitapanda hiyo bajaji yako tukifika tu Mbezi mwisho hapo naomba nikakojoe, sirudi Tena hiyo ndiyo talaka yangu..

Ukifika tu Mwanza, naolewa na jamaa mwenye Murano au Tako la nyani..

Ukitoka Mwanza, unanikuta nina ujauzito wa miezi 6..

The hell with you..[emoji48][emoji83][emoji83][emoji48][emoji48][emoji83]
Daaahhh.... Dada una ukatili mkubwa sana. Wewe mwenyewe unalo tako la nyani au ni tako la ngedere? Tuanzie hapo kwanza ...
 
Back
Top Bottom