Nimeshafanya Service Bajaji yangu nataka kuondoka kwenda Mwanza na abiria wawili

Kufika utafika tu ila si kwa mateso hayo unayotaka kumpa mkeo....Just imagine km zaidi ya 1000 mke kakalisha tako kwenye ile siti ya bajaji..

Tuchukulie kwa mfano mimi ndiyo mkeo..
Nitapanda hiyo bajaji yako tukifika tu Mbezi mwisho hapo naomba nikakojoe, sirudi Tena hiyo ndiyo talaka yangu..

Ukifika tu Mwanza, naolewa na jamaa mwenye Murano au Tako la nyani..

Ukitoka Mwanza, unanikuta nina ujauzito wa miezi 6..

The hell with you..[emoji48][emoji83][emoji83][emoji48][emoji48][emoji83]
 
Wife ana matako makubwa so hatoumia kukaa. Kukojoa si namsindikiza ili nami angalau nikakojoe hata mara moja moja?
 
Wife ana matako makubwa so hatoumia kukaa. Kukojoa si namsindikiza ili nami angalau nikakojoe hata mara moja moja?
Aisee..ukisema ana matako makubwa unatuumiza wengine roho..[emoji15][emoji15][emoji15]

Lakini huko chooni si kila mtu anaenda upande wake..?

Huko huko ndiyo anatokomea kusikojulikana..[emoji1][emoji1]
 
Misoma ndio wapi huko?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa roli kama n kuileta mwanza na ww ukapanda kwenye hilo lori n kama laki mbil sasa ya nn kuifksha bajaj mwanza kama imetoka kwenye vita ya pili ya dunia
 
Daaahhh.... Dada una ukatili mkubwa sana. Wewe mwenyewe unalo tako la nyani au ni tako la ngedere? Tuanzie hapo kwanza ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…