Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Yohana 14:13
[13]Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.

Yohana 16:24
[24]Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.

Yohana 16:23-24
[23]Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu.
[24]Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.
 
Yani nina masters na sasa ni mwanafunzi wa PhD na ninampenda sana Mama Bikira Maria japo siwezi Kumzidi Yesu. Ninamuomba na ananisaidia sana, hakuna binadamu kama Yeye. Mungu kujimwilisha ndani yake wafanya mchezo? sala zake hazikataliwi huyo Mama. Tena subiri niandae rosary yangu nifanye meditation. Kwanza huwa napata amani ya ajabu nikisali rosary. Na sina mpango wa kuacha leo wala kesho.
 
Ukweli hata mie hili jambo huwa laniacha hoii
Hivi inakuaje mwana damu anatengeneza kinyago kisha anakiabudu?? Anaamini kabisa kitamsaidia
Daaaaaaah mambo ya imani bhanaaa saa ingine ni kama uchizi flani hiviii
 
Kila mtu ana Imani yake na uhuru wa kuabudu anachokiamini. Usimuamlie. Yaani kila mtu ashinde mechi zake.
 
I'm doubting about the invisible man in the sky, who loves you too much still he needs your money. Think twice!
 
Kwani wewe unadhani kwakua amefanya tafiti nyingi atakua ametafiti hata biblia?

Hata kama ni profesa lakini sio kwenye biblia. Kila mtu ana alipozidiwa haijalishi anajua nini
 
Natumia rosary kila asubuhi for meditation, kwasababu yoga ilinishinda...The best decision ever!
 
Acha wivu kwa Mama Bikira Maria.Ulitaka uombwe wewe?.Kaa kwa kutulia wewe kila mtu na anavyoamini.
 
Kumshangaa MTU anamwabudu mama maria mtakatifu ni sawa kumshangaa MTU anamsujudu Muhammad aliyekuwa na totoz kibao.Mi naona kila MTU asimamie imani yake
Acha kumfananisha Mama Bikira Maria na vitu visivyoeleweka bhana.
 
Umeeleza vizuri sana mkuu.Safi sana
 
Barikiwa sana mtumishi.
 
Jibu la Kifalsafa hili.Big up sana.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Asante sana,Umeisimamia imani yako vizuri kabisa.
 
Wewe nenda tu kwa Gwajiboy akuombee,lkn mimi Fall Army Worm,nitashika Rozari yangu nitasali nikiomba Msaada wa Maombezi ya Mama Bikira Maria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…