MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Russia haiwezi shinda hii vita
Kama wameshindwa haribu miundo mbinu ya viwanja vya ndege, hawataweza
Wameshindwa zuia silaha kwenda Ukraine hawatashinda
Nimeshangaa sana maana hizo ndege za Ukraine ina maana zinaruka kutoka kwenye viwanja vya kijeshi.