Nimeshangaa kusoma taarifa za ndege za Ukraine kushambulia, kumbe bado wana airforce

Nimeshangaa kusoma taarifa za ndege za Ukraine kushambulia, kumbe bado wana airforce

Hehehe sizitaki mbichi, na mtakoma nyie waarabu wa Bongo, hivyo huu ulikua msafara wa royal tuwa, ulifyekwa kwa javelin za kubebea mabegani...
Na usisahau Ukraine wanaandaa one milion fighters to take back what is rightfully theirs Ukraine Is Massing 1 Million Troops To Fight the Russian Military


08610000-0a00-0242-09fe-08d9faed39ef_w1071_s_d3.jpg
Sijui anafikiria huo msafara walikuwa wanaenda picnic.
 
Back
Top Bottom