Nimeshangaa sana nilipokutana na hii kitu kwenye website ya Muhimbili National Hospital

Nimeshangaa sana nilipokutana na hii kitu kwenye website ya Muhimbili National Hospital

Unachokisema ni kweli kama wiki mbili au tatu zilizopita Jirani yetu mmoja alifiwa na kijana wake kwa ugonjwa wa Leukemia hapo MNH na mwili ulikataliwa kabisa kutolewa bila mil 3 na ndugu wa huyo marehemu wana uwezo duni wa kifedha hivyo walijichanga na kufika kama laki 3 hivi na kupeleka aisee walipewa maneno magumu na kuambiwa wakajichange. Ndipo ndugu hao wakamtafuta mwenyekiti wa mtaa kuomba msaada ili asaidie maana siku zilikuwa zimepita kama mbili na ni waislamu ndipo alipomtafuta mkoa wa mkoa na kuingilia kati mpaka kupata mwili kuzika. RC Chalamila alionyesha utu sana aisee!
Ccm mbere kwa mbere
 
Muhimbili ambako maiti zinazuiwa kwasababu aliyekufa alipokuwa mgonjwa hajamalizia malipo.
Muhimbili ambako mgonjwa anakaa wiki nzima hajapata huduma kwakuwa hajalipia pesa ya kipimo hivyo madaktari hawawezi kumuhudumia mpaka apimwe . Na vipimo hajalipia bado.
Muhimbili ambako huduma bei yake iko juu kana kwamba ni mahali pa biashara.
Nao wanaomba michango na misaada kutoka kwa wahisani wa ndani na nje ya nchi.
This is madnessView attachment 3153814
Pesa za kununua magoli mnazo ila za kuchangia matibabu kwa wananchi muombe mabeberu?
 
Sijawahi kusikia mtu katibiwa bure pale , lakini pia wanapokea fungu kubwa la ruzuku hivyo pesa hizo za ruzuku zitibu hao walala hoi unaowasema maana sisi na ndugu zetu tukienda pale bili tunayolipa ni kubwa

Unafanya kazi MNH? Wagonjwa wanaotibiwa bure kabisa wapo wengi tu. Nenda ofisi ya Ustawi wa Jamii utapata mkeka wote
 
Nashauri ili kuepuka hizi gharama, kila mtu akate bima ya afya
 
Piga simu namba 0715290137
ili kupata huduma ya vibaka watakaoweza kukuibia maiti ikikataliwa Muhimbili.
Unachokisema ni kweli kama wiki mbili au tatu zilizopita Jirani yetu mmoja alifiwa na kijana wake kwa ugonjwa wa Leukemia hapo MNH na mwili ulikataliwa kabisa kutolewa bila mil 3 na ndugu wa huyo marehemu wana uwezo duni wa kifedha hivyo walijichanga na kufika kama laki 3 hivi na kupeleka aisee walipewa maneno magumu na kuambiwa wakajichange. Ndipo ndugu hao wakamtafuta mwenyekiti wa mtaa kuomba msaada ili asaidie maana siku zilikuwa zimepita kama mbili na ni waislamu ndipo alipomtafuta mkoa wa mkoa na kuingilia kati mpaka kupata mwili kuzika. RC Chalamila alionyesha utu sana aisee!
 
Taifa lako litajengwa na wewe mkuu chukulia huo mfuko ukitanuka kutakuwa na shida think positive
Weee
Nchi ilivyojaa rushwa hii ni mwehu tu atachangia kirahisi hivyo
Au mwenye pesa za majini na ujambazi.
Pale kama mlalahoi uko ICU unaweza kutolewa mpira wa oxygen akawekewa mjomba wake Nape
Kuna mtu pale muhimbili anaitwa mtoa roho maarufu sana kukataza vyakula, huyu jamaa akikutibu jua huponi,
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwahiyo yeye ni mwendo wa kung'oa watu roho tu
 
Back
Top Bottom