Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mzee ungetia huo Mzigo pale kwenye Aviator.. sahiv una laki 5 zako frsh kbs..🥺Shukran kwa kupost, Kwa kujua umuhimu wa muhimbili na mchango wake kwenye kuhudumia jamii nimeanza Kwa kuchangia. Shukran kwa kutuhabarishaView attachment 3153866
Ccm mbere kwa mbereUnachokisema ni kweli kama wiki mbili au tatu zilizopita Jirani yetu mmoja alifiwa na kijana wake kwa ugonjwa wa Leukemia hapo MNH na mwili ulikataliwa kabisa kutolewa bila mil 3 na ndugu wa huyo marehemu wana uwezo duni wa kifedha hivyo walijichanga na kufika kama laki 3 hivi na kupeleka aisee walipewa maneno magumu na kuambiwa wakajichange. Ndipo ndugu hao wakamtafuta mwenyekiti wa mtaa kuomba msaada ili asaidie maana siku zilikuwa zimepita kama mbili na ni waislamu ndipo alipomtafuta mkoa wa mkoa na kuingilia kati mpaka kupata mwili kuzika. RC Chalamila alionyesha utu sana aisee!
Pesa za kununua magoli mnazo ila za kuchangia matibabu kwa wananchi muombe mabeberu?Muhimbili ambako maiti zinazuiwa kwasababu aliyekufa alipokuwa mgonjwa hajamalizia malipo.
Muhimbili ambako mgonjwa anakaa wiki nzima hajapata huduma kwakuwa hajalipia pesa ya kipimo hivyo madaktari hawawezi kumuhudumia mpaka apimwe . Na vipimo hajalipia bado.
Muhimbili ambako huduma bei yake iko juu kana kwamba ni mahali pa biashara.
Nao wanaomba michango na misaada kutoka kwa wahisani wa ndani na nje ya nchi.
This is madnessView attachment 3153814
MNH wabadilike pia serikali iweke utaratibu mwingine katika utoaji wa matibabu na gharama pia. Mtu anamnyima mpendwa wake kweli? Hapana!Ccm mbere kwa mbere
HAkuna cha bure mkuuMNH wabadilike pia serikali iweke utaratibu mwingine katika utoaji wa matibabu na gharama pia. Mtu anamnyima mpendwa wake kweli? Hapana!
Sijawahi kusikia mtu katibiwa bure pale , lakini pia wanapokea fungu kubwa la ruzuku hivyo pesa hizo za ruzuku zitibu hao walala hoi unaowasema maana sisi na ndugu zetu tukienda pale bili tunayolipa ni kubwa
Kuna mtu pale muhimbili anaitwa mtoa roho maarufu sana kukataza vyakula, huyu jamaa akikutibu jua huponi,Yeye labda yupo kwenye list ya wanaotibiwa bure Muhimbili ungemuuliza vizuri
Unachokisema ni kweli kama wiki mbili au tatu zilizopita Jirani yetu mmoja alifiwa na kijana wake kwa ugonjwa wa Leukemia hapo MNH na mwili ulikataliwa kabisa kutolewa bila mil 3 na ndugu wa huyo marehemu wana uwezo duni wa kifedha hivyo walijichanga na kufika kama laki 3 hivi na kupeleka aisee walipewa maneno magumu na kuambiwa wakajichange. Ndipo ndugu hao wakamtafuta mwenyekiti wa mtaa kuomba msaada ili asaidie maana siku zilikuwa zimepita kama mbili na ni waislamu ndipo alipomtafuta mkoa wa mkoa na kuingilia kati mpaka kupata mwili kuzika. RC Chalamila alionyesha utu sana aisee!
Nani Janabi?Kuna mtu pale muhimbili anaitwa mtoa roho maarufu sana kukataza vyakula, huyu jamaa akikutibu jua huponi,
WeeeTaifa lako litajengwa na wewe mkuu chukulia huo mfuko ukitanuka kutakuwa na shida think positive
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 🤣Kuna mtu pale muhimbili anaitwa mtoa roho maarufu sana kukataza vyakula, huyu jamaa akikutibu jua huponi,
Hiyo kibokoPiga simu namba 0715290137
ili kupata huduma ya vibaka watakaoweza kukuibia maiti ikikataliwa Muhimbili.
Ni kama haipo sasa...Misamaha ya tiba ipo sema mpaka kupata utakua umekufa ila ipo kwa hakika kabisa
Yes ni kama haipo ila ipo nmeona watu wakipewa exemption wakapata huduma za upasuaji mkubwa bureNi kama haipo sasa...
Au sijakuelewa vzr mkuu...
Hii tabia ya kubishana bishana na wanaume we mzee ipo siku utaona umuhimu wa wanaume.Kachukua tabia za baba yake.