Nimeshangaa sana Urusi kukubali maongezi ya amani, yaani nikikumbuka jeuri na mikwara ile

Nimeshangaa sana Urusi kukubali maongezi ya amani, yaani nikikumbuka jeuri na mikwara ile

Mwenye akili zake anajua maana yake. Aliyedai kuwa hawezi kukaa kwenye meza ya mazungumzo na Urusi bali ataishinda urusi kwenye uwanja wa vita, leo ndiye anayetaka mazungumzo ya amani na urusi! Waswahili walisema tatizo la ngoma ya watoto ni kwamba haiwezi kukesha!
 
Hiv
Leo Urusi wanasema wako tayari kuzungumza na kukubaliana kuacha vita, hawa hawa supapawa waliompa Zelensky masaa 24 kuachia ngazi. Zelensky siku zote amekua akijaribu kuwabembeleza waache vita waingie kwenye mazungumzo, leo wanaita vyombo vya habari na kubadilisha kauli.....poleni sana kwa kweli...

"Our president has repeatedly said that we are ready to negotiate, but these negotiations must take into account the situation on the ground," he explained.

Also, the Defense Ministry has confirmed that troops deployed in Belarus are conducting "intensive combat training" at facilities of the Belarusian Armed Forces, Russian news agency Interfax has reported.

"Classes on training and unit combat coordination are held day and night. At the training facilities, military personnel of the Western Military District improve shooting, driving military vehicles, conduct a psychological course and study medical skills and other disciplines," it has detailed.

Ukraine has repeatedly called for the withdrawal of Russian troops from the occupied territories in view of the start of peace talks, calls that have intensified in view of the military advances made by the Ukrainian Army in recent weeks, especially in the Kharkov and Kherson regions.

MSN
Hivi kwa ufahamu wako toka mwanzo wa mgogoro huu aliyekataa mazungumzo ya amani ni nani? Hivi ni kweli haujui kuwa Ukraine ndiyo iliyogomea mazungumzo na ikadai itaishinda urusi kwenye uwanja wa vita au umeamua kujitoa ufahamu? Aliyegomea mazungumzo ya amani leo ndiye anayetaka mazungumzo ya amani!! Kaachiwa mji wa kherson kwa dezo leo anadai ameuteka!! Kinachoendelea leo huko Donbas siyo cha kitoto!!
 
ishu sio mazungumzo nikwamba PUTIN aseme majibu yote manne aliyokua amekwapua ANAAchana nayo ni ARDHI halali ya UkRaine na WA Ukraine wenyewe.....awarudishe raia aliowasomba kwenye majimbo hayo kuwapeleka urusi .....nje yahapo HIMARS iendelee na SHUGHURI yake
 
ishu sio mazungumzo nikwamba PUTIN aseme majibu yote manne aliyokua amekwapua ANAAchana nayo ni ARDHI halali ya UkRaine na WA Ukraine wenyewe.....awarudishe raia aliowasomba kwenye majimbo hayo kuwapeleka urusi .....nje yahapo HIMARS iendelee na SHUGHURI yake
Una akili nzuri sana

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilijalibu kufatilia Sana hii vta hasa hasa toka mwanzo Na nilijalibu pia kusoma Na migogoro ya mwanzo toka vita ya atomic bomb ,km unakumbuka vizur kabla ya hii unayoona sasa Ni kua urusi alibadil mbinu Na kuanza kutumia kamikaze Ali iliyopelekea ukrenia kuanza kumezwa Na hatar zaid baada ya yeye kufanya tukio la kosa la kimkakat kushambulia daraja ivyo Kwanza urusi alifuta mkataba wa chakula baadae wazir wa mambo ya nje wa urusi aliongea Na mawazir wote wa nato tena us ndio walitoa hizo habar Na hii Ni baada ya Putin kugoma maongez Na biden ya ana kwa ana, alaf kilichofata Ni kua baada ya mazungumzo ndio hicho tunachokiona sasa,
Hawa watu walimgawa us ktk makundi manne ya kimkakat Na yamewalipa Na us akagundua njama yao karud gia,
Kwanza ktk pensula ya Korea pale us hakua Na support ya nato so ilikua tatzo kwake
Pili kisiwa cha Taiwan hili us alikua peke yake
Tatu India Na Pakistan,pakstan Ni mkakat wa marekani Na ulimshinda ivyo khafganstan ikamtoka
Nne Ni ushawish wa Africa Na alishuhudia achilia mbali kushndwa kisera lakn pia alishindwa kwa utaweka mfano Mali,bukinafaso Na Africa Kati,
Us ilijua hayo mana ata vta ya tatu ya Africa ilikua njia mana DRC alikua tayal kwa Rwanda Na tuliona wananchi mpk us akatoa tamko,

Kwangu mimi Russia hajashndwa sema yapo makubaliano Bora yamefanyika ,
Ila mshindi wa kwel hapa Ni Turkey hajataka yamkute km ya 1960'1 kucheza poa km israel
 
Hiv

Hivi kwa ufahamu wako toka mwanzo wa mgogoro huu aliyekataa mazungumzo ya amani ni nani? Hivi ni kweli haujui kuwa Ukraine ndiyo iliyogomea mazungumzo na ikadai itaishinda urusi kwenye uwanja wa vita au umeamua kujitoa ufahamu? Aliyegomea mazungumzo ya amani leo ndiye anayetaka mazungumzo ya amani!! Kaachiwa mji wa kherson kwa dezo leo anadai ameuteka!! Kinachoendelea leo huko Donbas siyo cha kitoto!!
Russians hawako smart period.
 
Mimi nilijalibu kufatilia Sana hii vta hasa hasa toka mwanzo Na nilijalibu pia kusoma Na migogoro ya mwanzo toka vita ya atomic bomb ,km unakumbuka vizur kabla ya hii unayoona sasa Ni kua urusi alibadil mbinu Na kuanza kutumia kamikaze Ali iliyopelekea ukrenia kuanza kumezwa Na hatar zaid baada ya yeye kufanya tukio la kosa la kimkakat kushambulia daraja ivyo Kwanza urusi alifuta mkataba wa chakula baadae wazir wa mambo ya nje wa urusi aliongea Na mawazir wote wa nato tena us ndio walitoa hizo habar Na hii Ni baada ya Putin kugoma maongez Na biden ya ana kwa ana, alaf kilichofata Ni kua baada ya mazungumzo ndio hicho tunachokiona sasa,
Hawa watu walimgawa us ktk makundi manne ya kimkakat Na yamewalipa Na us akagundua njama yao karud gia,
Kwanza ktk pensula ya Korea pale us hakua Na support ya nato so ilikua tatzo kwake
Pili kisiwa cha Taiwan hili us alikua peke yake
Tatu India Na Pakistan,pakstan Ni mkakat wa marekani Na ulimshinda ivyo khafganstan ikamtoka
Nne Ni ushawish wa Africa Na alishuhudia achilia mbali kushndwa kisera lakn pia alishindwa kwa utaweka mfano Mali,bukinafaso Na Africa Kati,
Us ilijua hayo mana ata vta ya tatu ya Africa ilikua njia mana DRC alikua tayal kwa Rwanda Na tuliona wananchi mpk us akatoa tamko,

Kwangu mimi Russia hajashndwa sema yapo makubaliano Bora yamefanyika ,
Ila mshindi wa kwel hapa Ni Turkey hajataka yamkute km ya 1960'1 kucheza poa km israel
Kulikuwa na makubaliano gani ya kuikimbia Kharkiv? Kyiv? Snake Island?
 
Leo Urusi wanasema wako tayari kuzungumza na kukubaliana kuacha vita, hawa hawa supapawa waliompa Zelensky masaa 24 kuachia ngazi. Zelensky siku zote amekua akijaribu kuwabembeleza waache vita waingie kwenye mazungumzo, leo wanaita vyombo vya habari na kubadilisha kauli.....poleni sana kwa kweli...

"Our president has repeatedly said that we are ready to negotiate, but these negotiations must take into account the situation on the ground," he explained.

Also, the Defense Ministry has confirmed that troops deployed in Belarus are conducting "intensive combat training" at facilities of the Belarusian Armed Forces, Russian news agency Interfax has reported.

"Classes on training and unit combat coordination are held day and night. At the training facilities, military personnel of the Western Military District improve shooting, driving military vehicles, conduct a psychological course and study medical skills and other disciplines," it has detailed.

Ukraine has repeatedly called for the withdrawal of Russian troops from the occupied territories in view of the start of peace talks, calls that have intensified in view of the military advances made by the Ukrainian Army in recent weeks, especially in the Kharkov and Kherson regions.

MSN
Hiyo ndio only best option waliyonayo kwa sasa kwa sababu wameshapoteza muelekeo na hawaoni sababu ya vita..
 
Hivi we mtoa mada unaota kusema yuko tayari kuongelea mambo ya amani mbona tokea zamani Mrusi alikuwa anaongelea hayo kabla ya vita Ukraine.ndio alijidai kichwa maji.

Vita Mrusi kisha shinda Ukraine haingii Nato. Infistructor ya Ukraine kisha irudisha nyuma sana yani Ukraine mpaa irudi ilivyo kuwa mwanzo inataka.miaka 30 labda.

Miji aliyo ichukua Mrusi hairudi Ukraine wanaota tu hio Kherson ni walijitoa wao warusi ili Zelenesky na US pamoja na Nato ili waonekane na wo wamefanya kitu kumbe ni deal hio ya mpaka mpya.
 
Hiv

Hivi kwa ufahamu wako toka mwanzo wa mgogoro huu aliyekataa mazungumzo ya amani ni nani? Hivi ni kweli haujui kuwa Ukraine ndiyo iliyogomea mazungumzo na ikadai itaishinda urusi kwenye uwanja wa vita au umeamua kujitoa ufahamu? Aliyegomea mazungumzo ya amani leo ndiye anayetaka mazungumzo ya amani!! Kaachiwa mji wa kherson kwa dezo leo anadai ameuteka!! Kinachoendelea leo huko Donbas siyo cha kitoto!!
Huna akili kwa kweli
 
Mimi nilijalibu kufatilia Sana hii vta hasa hasa toka mwanzo Na nilijalibu pia kusoma Na migogoro ya mwanzo toka vita ya atomic bomb ,km unakumbuka vizur kabla ya hii unayoona sasa Ni kua urusi alibadil mbinu Na kuanza kutumia kamikaze Ali iliyopelekea ukrenia kuanza kumezwa Na hatar zaid baada ya yeye kufanya tukio la kosa la kimkakat kushambulia daraja ivyo Kwanza urusi alifuta mkataba wa chakula baadae wazir wa mambo ya nje wa urusi aliongea Na mawazir wote wa nato tena us ndio walitoa hizo habar Na hii Ni baada ya Putin kugoma maongez Na biden ya ana kwa ana, alaf kilichofata Ni kua baada ya mazungumzo ndio hicho tunachokiona sasa,
Hawa watu walimgawa us ktk makundi manne ya kimkakat Na yamewalipa Na us akagundua njama yao karud gia,
Kwanza ktk pensula ya Korea pale us hakua Na support ya nato so ilikua tatzo kwake
Pili kisiwa cha Taiwan hili us alikua peke yake
Tatu India Na Pakistan,pakstan Ni mkakat wa marekani Na ulimshinda ivyo khafganstan ikamtoka
Nne Ni ushawish wa Africa Na alishuhudia achilia mbali kushndwa kisera lakn pia alishindwa kwa utaweka mfano Mali,bukinafaso Na Africa Kati,
Us ilijua hayo mana ata vta ya tatu ya Africa ilikua njia mana DRC alikua tayal kwa Rwanda Na tuliona wananchi mpk us akatoa tamko,

Kwangu mimi Russia hajashndwa sema yapo makubaliano Bora yamefanyika ,
Ila mshindi wa kwel hapa Ni Turkey hajataka yamkute km ya 1960'1 kucheza poa km israel
Hivi vichwa vyenu huwa vinanin?
 
Hivi we mtoa mada unaota kusema yuko tayari kuongelea mambo ya amani mbona tokea zamani Mrusi alikuwa anaongelea hayo kabla ya vita Ukraine.ndio alijidai kichwa maji.

Vita Mrusi kisha shinda Ukraine haingii Nato. Infistructor ya Ukraine kisha irudisha nyuma sana yani Ukraine mpaa irudi ilivyo kuwa mwanzo inataka.miaka 30 labda.

Miji aliyo ichukua Mrusi hairudi Ukraine wanaota tu hio Kherson ni walijitoa wao warusi ili Zelenesky na US pamoja na Nato ili waonekane na wo wamefanya kitu kumbe ni deal hio ya mpaka mpya.

Nimeangalia signature yako nikajua nini shida yako, mumeshikiliwa akili nyote, hata nini kitendeke haiji siku muamke.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom