Ushamnunua?Binti yuko hapa mkoa x na yuko kwenye magroup ya WhatsApp ya walokole ila kibinti kinajiuza.
Tofauti tu ni kwamba inabidi utumie gharama kubwa kijificha,ili kanisani aendelee kuaminika.
Huko kanisani kwa nini msiwafundishe kuwa wazi tu ili kuachana na unafiki wa kujifanya mcha Mungu hadi mitandaoni halafu kumbe binti anajiuza kwa siri?
Ananifuata kwa siri nimemsaidia tu maisha lakini hawezi kuacha ujinga huuUshamnunua?
Nimeona wengi lakini nashangazwa na ujasiri wa kujifanya huna dhambi ila kwa siri unaiishi dhambi hiyIna maana hujawahi muona mtu mnafiki maishani kwako?
Have you not seen a hypocrite in your entire life?
🤣🤣🤣aache akale wapiAnanifuata kwa siri nimemsaidia tu maisha lakini hawezi kuacha ujinga huu
Wachawi na wazinzi wengi ndio wanaenda kanisani kuliko hata watu wema. .Nimeona wengi lakini nashangazwa na ujasiri wa kujifanya huna dhambi ila kwa siri unaiishi dhambi hiy
Nikashangaa usimjue kweliMbona kama nakajua, ni kafupi?
🤣 sina hakika kama ndio huyo ila kwa alivyomuelezea anafanania na ninaemjua.Nikashangaa usimjue kweli
Ni tamaa tu kwani ana biashara yake lakini anatamani awe juu kuliko kipato chake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aache akale wapi
Pesa haijawai kutoshaNi tamaa tu kwani ana biashara yake lakini anatamani awe juu kuliko kipato chake
Yeye mwenyewe mnafiki.Ina maana hujawahi muona mtu mnafiki maishani kwako?
Have you not seen a hypocrite in your entire life?