Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ipo mnunuzi anaitwa Client na muuWewe ni mnunuaji
Huna tofauti nae
Muuzwaji na mnunuaji ni tofauti sana, muuzwaji ni sawa na bidhaa/mfugo yaani kajitoa ubinadamu na utu wake, waafrika tuliouzwa na wazungu na waarabu tulidharaulika hadi leo, kujiuza ni kujitoa utu na ubinadamu na kuwa kama mnyama au mfugo mnadani, wanunuaji wala hawadharauliki.Wewe ni mnunuaji
Huna tofauti nae
Hii ni kweliOgoga sana wanaopenda kujionyesha mbele za watu ni wema .
Kabsa mkuuHii ni kweli
Kanisani awaambie nani? Wachungaji wenyewe hawatuambii ukweli. Wanatuambia mwisho wa dunia umekaribia halafu wao wananunua mashambaBinti yuko hapa mkoa x na yuko kwenye magroup ya WhatsApp ya walokole ila anajiuza. Tofauti tu ni kwamba inabidi utumie gharama kubwa kujificha, ili kanisani aendelee kuaminika.
Huko kanisani kwanini msiwafundishe kuwa wawazi tu ili kuachana na unafiki wa kujifanya mcha Mungu hadi mitandaoni halafu kumbe binti anajiuza kwa siri?
Nimeshangazwa sana, ndio maana hamuolewi ninyi mabinti. Mtu anaona bora achukue bar maid tu kwani haishi kinafiki!
Mkuu na unaemjua yuko mkoa x? Atakua ni huyo huyo[emoji1787] sina hakika kama ndio huyo ila kwa alivyomuelezea anafanania na ninaemjua.
🤣🤣🤣hajui mtu akishaitwa mwanamke tiari ndani yake anasifa ya unafikiIna maana hujawahi muona mtu mnafiki maishani kwako?
Have you not seen a hypocrite in your entire life?
Inawezekana but wapo wengi sana wa hivyoMkuu na unaemjua yuko mkoa x? Atakua ni huyo huyo
Kumuona anakwenda ibadaniBado sijaona cha ajabu, wapo watu kibao wanajiuza kwa siri huyo amekushtua na nini ulokole!?
Anatoza kima cha chini bei gani?Ni tamaa tu kwani ana biashara yake lakini anatamani awe juu kuliko kipato chake