Ze showstopper
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 243
- 354
Naomba namba yke niwe naenda nae kanisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamfahamu? Ama ni wewe?Umejuaje kua...anajuiza...au unaleta unafiki tu hapa
😂😂😂😂Ngoja Nami nihamie huko tuwe tunaenda wote church 😋Naomba namba yke niwe naenda nae kanisani
Sijui kama yupo humu ila kama wewe ni mmoja wapo kwenye magroup yenu ya walokole,peleka uzi huu huenda akaacha.Yeye mwenyewe mnafiki.
Hawezi kuona
😄 karibu mkuu😂😂😂😂Ngoja Nami nihamie huko tuwe tunaenda wote church 😋
NB: Usimwamini mtu Kwa kumtazama tu au maneno yake....mwamini mtu Kwa matendo yake ivo hicho ulichokishuhudia ndiyo uhalisia wake
Santee😄 karibu mkuu
Ana chura?😜Ni tamaa tu kwani ana biashara yake lakini anatamani awe juu kuliko kipato chake
Umeniwahi mkuu, how did he realise it as he's ain't among the buyers?Umejuaje kua...anajuiza...au unaleta unafiki tu hapa
TaahiraPole kwa kukataliwa
Unaweza kushare namba Mkuu weekend hii tukasuuze rungu?Binti yupo mkoa x na yuko kwenye magroup ya WhatsApp ya walokole ila kibinti kinajiuza.
Tofauti tu ni kwamba inabidi utumie gharama kubwa kujificha,ili kanisani aendelee kuaminika.
Huko kanisani kwa nini msiwafundishe kuwa wazi tu ili kuachana na unafiki wa kujifanya mcha Mungu hadi mitandaoni halafu kumbe binti anajiuza kwa siri?
Nimeshangazwa sana.Ndio maana hamuolewi ninyi mabinti.Mtu anaona bora achukue bar maid tu kwani haishi kinafiki
Kwa Nini asikufate wakati,Ananifuata kwa siri nimemsaidia tu maisha lakini hawezi kuacha ujinga huu
Wapi alitangaza hana dhambiNimeona wengi lakini nashangazwa na ujasiri wa kujifanya huna dhambi ila kwa siri unaiishi dhambi hiy
Wamekubaliana alafu anamuumbua.Kama anajiuza kwa siri wewe umejuaje?
Kutokuwepo na ajira hakuchagui mlokole ama mpagani🙃Binti yuko hapa mkoa x na yuko kwenye magroup ya WhatsApp ya walokole ila anajiuza. Tofauti tu ni kwamba inabidi utumie gharama kubwa kujificha, ili kanisani aendelee kuaminika.
Huko kanisani kwanini msiwafundishe kuwa wawazi tu ili kuachana na unafiki wa kujifanya mcha Mungu hadi mitandaoni halafu kumbe binti anajiuza kwa siri?
Nimeshangazwa sana, ndio maana hamuolewi ninyi mabinti. Mtu anaona bora achukue bar maid tu kwani haishi kinafiki!